Mpaka utumie forwarding service kama mwl rct ndio utaweza ship toka india.Naomba website mkuu nicheck hizo za kenya na je malipo yanakuwa vipi na usafiri na je hamna wapigaji huko?.Ahsanteh
Pia nimeziona simu kama oppo realme 2 na c1 ziko around 7000 indian rupee na 9000 sasa naomba kama kuna mtandao wanaship bongo wa india nisaidie nikachek huko hzi simu maana aliexpress hawana.
Posta kuna sehemu ya kupokelea kama huna box, wanakupigia simu ukachukue, ila usirisk kwa kitu cha gharama kama simu.Hivi mfano sina box office na nataka agiza simu mwenyewe hii simu itafikia wpi na je kuna mwenye uzoefu na hili la bila kutumia box office.Ahsanteh
Ila ukiwa na box hakuna shida?Posta kuna sehemu ya kupokelea kama huna box, wanakupigia simu ukachukue, ila usirisk kwa kitu cha gharama kama simu.
Chief-MkwawaHivi hii redmi note 6 pro ni nzuri au na itagharimu kiasi gani hadi kunifikia?
Pia ukiwa nalo sio 100% safe hasa kwa shipping hizi za bure ila ukitumia ya gharama kidogo kama ems, usps etc kinakuwa na uhakika.Ila ukiwa na box hakuna shida?
Avechi hawana stock ya kutosha nimetafuta hakuna.Mpaka utumie forwarding service kama mwl rct ndio utaweza ship toka india.
Na site za kenya ni kama avechi.com na jumia.co.ke. wadau wanasema Avechi wanaship mpaka huku kwetu, ila ni vyema ukamuagizia mtu alie kenya anunue kule na kukutumia.
Mkuu unless unapenda hizi trend sijui notch na hizi fashion za kisasa otherwise Redmi note 5 ni nzuri kununua kuliko redmi note 6. Zinafanana specs nyingi na redmi note 5 utaipata bei rahisi zaidi around laki 4.Chief-Mkwawa
Angalia jumia, nilicheki kama nusu saa iliopita zilikuwepoAvechi hawana stock ya kutosha nimetafuta hakuna.
Asante Mkuu.Mimi ni mpenzi wa simu zenye big screen .Mkuu unless unapenda hizi trend sijui notch na hizi fashion za kisasa otherwise Redmi note 5 ni nzuri kununua kuliko redmi note 6. Zinafanana specs nyingi na redmi note 5 utaipata bei rahisi zaidi around laki 4.
Kwa kenya ni kama ksh 17500 ambayo ni kama 394,000 ya Kitanzania kama una mtu unamjua muagizishie.
Tumia hata ya ndugu,jamaa au RafikiHivi mfano sina box office na nataka agiza simu mwenyewe hii simu itafikia wpi na je kuna mwenye uzoefu na hili la bila kutumia box office.Ahsanteh
hizi simu pale Arusha AIM mall kwa benson latest zote anakuwa nazo. kama mi max 3 niliona pale ya july 2018Hivi mfano sina box office na nataka agiza simu mwenyewe hii simu itafikia wpi na je kuna mwenye uzoefu na hili la bila kutumia box office.Ahsanteh
hizi simu pale ARUSHA
hizi simu pale Arusha AIM mall kwa benson latest zote anakuwa nazo. kama mi max 3 niliona pale ya july 2018
Hata redmi note 5 pro ni kioo kikubwa mkuu. 5.99inch ambayo ni inchi 6 tena hiyo. Sema kutokana na bezell ndogo simu inaonekana ndogo japo ina kioo kikubwa.Asante Mkuu.Mimi ni mpenzi wa simu zenye big screen .
Ningeenda kwenye Mi max 3 ila wanasema ghari Sana around laki 6.
Tatizo bei mkasi kwa bongo japo sina hakika unaweza kuta 5 pro unauziwa 600k wakati ukiagiza unasve 90k hata na zaidi.hizi simu pale ARUSHA
hizi simu pale Arusha AIM mall kwa benson latest zote anakuwa nazo. kama mi max 3 niliona pale ya july 2018
Tatizo bei mkasi kwa bongo japo sina hakika unaweza kuta 5 pro unauziwa 600k wakati ukiagiza unasve 90k hata na zaidi.
Tafuta 20k agizia aliexpress, hapa bongo kupata kwa hiyo budget yako labda xiaomi fakenahitaji earphone za xiaomi mwenye nazo naomba tuwasiliane kwa namba hii 0677991687 .Ofa yangu elfu 15K usafiri juu yangu
Kama unapenda earphone kuna nzur tu za kz za budget nzur na high quality in sound.