Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Unaweza eka exatly maneno yanayoandikwa hapo kwenye kioo? Pindi unaambiwa ueke codeLine nimetest kwny simu tofaut haina shida,nkaweka line nyingine ya mtandao huohuo stil ina password
Hivi chiefUnaweza eka exatly maneno yanayoandikwa hapo kwenye kioo? Pindi unaambiwa ueke code
Mkuu jaribu kuifactory reset kwa kueka hio line inayokubali kisha kuingia setting nafkiri option ya mwisho ya kwenye setting ni ya kureset.Hivi chiefView attachment 979165
Inakuja na store ya kichina? Jaribu kuisearch humo ndani mara nyingi huwa wanaweka.Naombeni msaada.. natumia simu ya OPPO ila tatizo haina google play store wala google play service.. ..nisaidieni namna ya kuzipata..
Nme try,nkaweka 12345,0000,1234,00000000,1234567890zte zmegomaMkuu jaribu kuifactory reset kwa kueka hio line inayokubali kisha kuingia setting nafkiri option ya mwisho ya kwenye setting ni ya kureset.
Njia ya mwisho ni kuiflash mkuu uanze upyaNme try,nkaweka 12345,0000,1234,00000000,1234567890zte zmegoma
Kuna njia ya kufanya mm mwenyewe au mpaka mafundi chiefNjia ya mwisho ni kuiflash mkuu uanze upya
Redmi 5 online ipo chini ya laki tatu nilinunua mwezi Oct 285k na infinix hot 6 kwa bei za jumia si chini ya 330k.
Boss kwahiyo code umezisahau au simu ni ya mtu mwingine, tuanzie hapo.Kuna njia ya kufanya mm mwenyewe au mpaka mafundi chief
Nliuziwa nairobi huko mda sana, siku zte ilkua na simcard moja tu na hadi sasa nkweka io simcard haidai password,nkibadil tu nkiweka nyingine inadaiBoss kwahiyo code umezisahau au simu ni ya mtu mwingine, tuanzie hapo.
Inakuja kwa njia ya registered air mail. Hakuna kodi zozote zile inapofika nchini.Ukinunua online unaipataje?plus kuna kodi zozote kwenye delivery?
Wanaita tu chinese apple... ila acheni tu apple ibaki kuwa appleThey call it "chinese Apple" very nice phone with big battery of 4000mah inatosha sana kwa siku nzima with fulk swing [emoji1]
Hahahah... be serious... ntajie simu yoyote uliyotumia ambayo imetengenezwa kuanzia mwaka 2017 na kuendelea.... mpaka useme xiaomi na iphone ndo kibokoNimetumia aina zote za simu ila believe me iphone na xiaomi ni gumzo!!! Sema iphone haina uhuru wa kufanya mambo mengi kama android ila xiaomi ni best kwangu mimi we endelea tu na tu na unachokiamini ni bora au na wewe ni chizi mabrandy kwamba ukisikia tu sony sijui lg sijui nn unaamini ndio basi
Hapo option ni kubaki na hiyo line inayokubali au uflash simu.Nliuziwa nairobi huko mda sana, siku zte ilkua na simcard moja tu na hadi sasa nkweka io simcard haidai password,nkibadil tu nkiweka nyingine inadai
Weka hiyo simcard ambayo haisumbui..then kaweke off pin code request..ipo kweny setting,security then angalia pin code request..weka offNme try,nkaweka 12345,0000,1234,00000000,1234567890zte zmegoma
Kuweka pin code request on/off atadaiwa pin(passcode)Weka hiyo simcard ambayo haisumbui..then kaweke off pin code request..ipo kweny setting,security then angalia pin code request..weka off
Sent from my SM-G920P using Tapatalk