Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Hapo kwenye Note 6Pro ya 64Gb hadi Jasho....

SangaweJr
 
this is cool

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hiyo Chinese version ipoje mkuu. Kama nikiipata sitawezi kuitumia au? . Dadavua tafadhali.
Inapatikana kuanzia US $180-$300 kulingana na Storage na Ram, ila kwa sasa zilizopo ni Chinese version pekee, ukitaka global version inabidi usubiri.

Copyright [emoji767] 2017-2019 Mr. Mobile, Inc. All Rights Reserved.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na njia ya usafirishaji uliyotumia kuna njia ukitumia lazima ulipie kodi, mfano: expedited shipping. Ila kwa njia ya posta unaweza usilipie ila ndio mizigo uchukua hadi wiki tatu kufika nchini.
Samahani mkuu naomba utaratibu wa namna ya kuagiza kupitia posta. Hiyo expedited nishawai fanya nataka nijaribu njia ya Posta mara hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni lazima nimiliki box kwa jina langu pale posta au inakuwaje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Unaweza kuandika physical adress kama unavyoandika kwenye anuani ya expedited shipping, pia unaweza kutumia box la mtu mwingine ila wakati wa kwenda kuchukua mzigo ni lazima uwe na ID yako.
Ila kwa usalama zaidi ya parcels ni bora ufungue sanduku la posta haizidi elfu thelathini.
 
Akhsante Ndugu. Nimekupata vilivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada Xiaomi yangu imekatika mkanda wa Battery nimeatafuta fundi kariakoo nimekosa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…