Walengwa wa jukwaa hili! Naombeni nijue hili la MB wangu G. Lema! Nipo nyuma kidogo!!

Walengwa wa jukwaa hili! Naombeni nijue hili la MB wangu G. Lema! Nipo nyuma kidogo!!

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
11,483
Reaction score
3,369
Hakika nipo nyuma!

Hili la kukata rufaa kwa Mbunge wangu tajwa hapo juu litaanza kusikilizwa lini?

Kwa kuwa nina IMANI ya kwmb humu tuna kila aina ya member!
Naombeni nieleweshwe vema kbs mambo ya rufaa aliyekata Mbunge wangu ya kwmb itaanza kusikilizwa lini,na ni kwa sbb gani iwe hivyo kupelekwa mbali hivi.
Maana Mi naona kama imesogezwa mbele sana!

Mwenye kujua mambo ya rufaa anijuze vema ajuavyo!

Samahani kwa usumbufu wowote ule wadau!!

Hakuna kulala mpaka kieleweke!


NAWASILISHA HILI KIVYANGU!!
 
Back
Top Bottom