LGE2024 Walianza kuandikisha wanafunzi kwenye daftari tunakaa kimya, wameanza kuandikisha nje ya vituo na kuwapiga wapinzani na hakuna hatua watachukuliwa

LGE2024 Walianza kuandikisha wanafunzi kwenye daftari tunakaa kimya, wameanza kuandikisha nje ya vituo na kuwapiga wapinzani na hakuna hatua watachukuliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Wanaoandikisha wanafunzi na wananchi nje ya vituo rasmi vya kupiga kura wanalipwa na nani? Wametumwa na nani? Kwa malengo gani? Je, wanaoshiriki mauaji kwenye siasa wananufaikaje?

Tumeona clip ya wanachama wenu wakitaka kuua kisa uchaguzi wa serikali za Mitaa, clip na maneno yanayosambaa wamewataja wahusika kwa maneno. Naamini kwa kiburi mtakataa na mtakataza wahusika wasichukuliwe hatua.

Lakini wakati mnakataa kuhusika tambueni wananchi wameona na hao waliotenda wanafahamika. Mnaivuruga nchi kwa mambo yasiyo kuwa na tija.
 
sawa tumekuelewa tutalifanyia kazi swala lako!
 
Back
Top Bottom