Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,165
Babu Asprin na Kabakabana mmeamkaje?
Swali kwa Babu asubuhi yote hii umemuacha Bibi Kitandani unafanya nini JF..
Na wewe Kabakabana huna usingizi?
Mie Koplo wa Geshi lazima boot lifungwe..ndo mkono uende kinywani.
Naona mnahakiki matokeo bila chenga
Hebu mkubalie Babu kiana. Ukifanikiwa akilala, jaribu kumkagua kama yuko salama. Kongosho ni habari ndefu hapa JF!
dah babu msanii,, nimekukubali
hako kamkono si ulisema mpaka unikague ndo nikatoe au?.
hehehe kumbe nishampiku konny yarabi toba nimefurahi ngoja nianze na kisichana sasa hivi
mmh Kongosho :A S-coffee:
Mbinu za nini labda????!!Ahaaaa! Kumbe wewe ni Mdada eeeh . . . namtafuta Bishanga anipe mbinu, nitarudi:
nachojua,
am loyal to my husbands
siku zote, siwaachi when they need.
Go, explore but remember where you you belong.
Afu we nani kakupa ruhusa ya kuchakachua sredi ya Supaman? Unataka kulamba Ban ID zako zote saba?Babu Asprin na Kabakabana mmeamkaje?
Swali kwa Babu asubuhi yote hii umemuacha Bibi Kitandani unafanya nini JF..
Na wewe Kabakabana huna usingizi?
Mie Koplo wa Geshi lazima boot lifungwe..ndo mkono uende kinywani.
Naona mnahakiki matokeo bila chenga
Am your hubby, hao wengine ni nyumba ndogo ambao nimekuruhusu uwachune nikiishiwa hela ya bia...... nisisikie tena ukiwaita husbands sawa? Be warned!nachojua,
am loyal to my husbands
siku zote, siwaachi when they need.
Go, explore but remember where you you belong.
:juggle::A S-coffee:😛hoto:dah babu msanii,, nimekukubali
hako kamkono si ulisema mpaka unikague ndo nikatoe au?.
hehehe kumbe nishampiku konny yarabi toba nimefurahi ngoja nianze na kisichana sasa hivi
:hatari::focus:Hebu mkubalie Babu kiana. Ukifanikiwa akilala, jaribu kumkagua kama yuko salama. Kongosho ni habari ndefu hapa JF!
And what exactly utaenda nifanyia?..... Na afu hivi mtu huwa anamtongoza mpenzi wake?akinitongoza nitamkubali halafu ntafanya kama ulivyosema.,promise.
wengine tuna avatar za kike lakini ni wanaume ..napita tu SM
hivi FL1 sisi wengine hujatuona au?
Mbinu za nini labda????!!
Babu Asprin na Kabakabana mmeamkaje?
Swali kwa Babu asubuhi yote hii umemuacha Bibi Kitandani unafanya nini JF..
Na wewe Kabakabana huna usingizi?
Mie Koplo wa Geshi lazima boot lifungwe..ndo mkono uende kinywani.
Naona mnahakiki matokeo bila chenga
:hatari::focus:
And what exactly utaenda nifanyia?..... Na afu hivi mtu huwa anamtongoza mpenzi wake?
Babu ana hang over maana avatar ya Kabakabana inamfanya aende na Sabuni toilet halafu kamwacha bibi kitandani :lol::lol:
Hivi Babu anatoka na Kongosho? Mbona utata? Kongosho ni ni Dual Gender na zote Full Functional? (Certified).
Maskini Babu . . . . mpaka mwili unasisimka!
hivi FL1 sisi wengine hujatuona au?
Usinibanie Sisteri . . .
Would you like to fly? I can show you around . . .
ujue raha sana
nina wamme wawili
na nina wake wawili
nina batani ya kuswichi ofu ambayo siitumii kwa wakati huo.
Eeh ni kweli mi nna wivu sana hasa kwa msukuma wangu hapo kwenye avatar...Hivi unawezaje kumjua mtu mwenye wivu?