Msabaha lk
Member
- Apr 21, 2012
- 84
- 21
Waungwana nami niungane nanyi kwa hili. HESLB wametoa allocation na tuliokosa tumekosa. Ajabu kimya! hivi mkwanja wetu umeende hivihivi? hatustahili hata kupewa taarifa kwa nini tumekosa? wametugawa! waliopata sherehekeni.
usikate tamaa ndugu yangu haya ndo maisha ya kibongo bongo me naona tu ka appeal naimani kabisa utapata huwezi kukosa kweli