Walichokifanya Simba Sc kwenye Mechi ya Mlandege ni wazi wameamua kulipuuza Kombe la Mapinduzi na kuamua kujitoa kimkakati

Walichokifanya Simba Sc kwenye Mechi ya Mlandege ni wazi wameamua kulipuuza Kombe la Mapinduzi na kuamua kujitoa kimkakati

Mcanada

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
982
Reaction score
1,942
Habari wanajukwaa wa JF, Naamini mwaendelea vyema kabisa huko bongo.

Mimi ndugu yenu nipo hapa Canada baridi ni kali kweli kweli ila wakati huu ambao nimepumzika hapa na mchepuko wangu wa kizungu (maana mkewangu kaja huko Tanzania kusalimia wazee) nimeona nishee jambo kidogo kuhusu mambo ya soka la kibongo.

Ukitazama kikosi kilichopangwa jana kwenye mechi ya Simba sc Vs Mlandege kama wewe una IQ ya juu utagundua mambo mengi sana ila kubwa zaidi ni mkakati wao wa kutotaka kushiriki kombe hilo ili kutunza nguvu ya kikosi chao tegemezi kwa ajili ya kombe la Klabu bingwa Afrika maana kule ndiko Simba Sc inapokula pesa za kutosha na kuifanya klabu yao kuwa imara.

Ni wazi mpango wao ulifanikiwa japo mashabiki wengi wamepiga kelele na kutukana matusi mengi ila ukilitazama jambo hili kwa undani unagundua Viongozi wa simba sc wamefurahi kwakuwa mpango wao umefanikiwa kwa 100%.

Kitendo cha benchi la ufundi kuingiza reserve players na baadhi ya wachezaji kutoka timu ya vijana(Simba Sc B) ni wazi Simba Sc hili kombe hawakutaka tu kushiriki na hawalitaki kwakuwa halina manufaa wala thamani kwao wameamua tu kwenda zanzibar kutest hao reserved players kuona ni nani abaki na nani wamtimue msimu ujao.

Pili wameenda tu zanzibar kutembea tu na kutalii kwa ajili ya refreshment ya kikosi chao ila akili zao zote zipo CAF maana hata kombe la NBC wamelikosa kwakuwa akili na mipango yao yote ipo CAF ambako nako bado kuna sintofahamu kibao..

Wacha nizime simu sasa nile mbususu ya kizungu🙂
Ni mimi balozi wenu wa kujiteua! - Mcanada.
 
Habari wanajukwaa wa JF, Naamini mwaendelea vyema kabisa huko bongo .. Mimi ndugu yenu nipo hapa Canada baridi ni kali kweli kweli ila wakati huu ambao nimepumzika hapa na mchepuko wangu wa kizungu (maana mkewangu kaja huko Tanzania kusalimia wazee) nimeona nishee jambo kidogo kuhusu mambo ya soka la kibongo..

Ukitazama kikosi kilichopangwa jana kwenye mechi ya Simba sc Vs Mlandege kama wewe una IQ ya juu utagundua mambo mengi sana ila kubwa zaidi ni mkakati wao wa kutotaka kushiriki kombe hilo ili kutunza nguvu ya kikosi chao tegemezi kwa ajili ya kombe la Klabu bingwa Afrika maana kule ndiko Simba Sc inapokula pesa za kutosha na kuifanya klabu yao kuwa imara.

Ni wazi mpango wao ulifanikiwa japo mashabiki wengi wamepiga kelele na kutukana matusi mengi ila ukilitazama jambo hili kwa undani unagundua Viongozi wa simba sc wamefurahi kwakuwa mpango wao umefanikiwa kwa 100%.

Kitendo cha benchi la ufundi kuingiza reserve players na baadhi ya wachezaji kutoka timu ya vijana(Simba Sc B) ni wazi Simba Sc hili kombe hawakutaka tu kushiriki na hawalitaki kwakuwa halina manufaa wala thamani kwao wameamua tu kwenda zanzibar kutest hao reserved players kuona ni nani abaki na nani wamtimue msimu ujao, pili wameenda tu zanzibar kutembea tu na kutalii kwa ajili ya refreshment ya kikosi chao ila akili zao zote zipo CAF maana hata kombe la NBC wamelikosa kwakuwa akili na mipango yao yote ipo CAF ambako nako bado kuna sintofahamu kibao..

Wacha nizime simu sasa nile mbususu ya kizungu🙂
Ni mimi balozi wenu wa kujiteua! - Mcanada.
Hakuna cha mpango wala nini, kwanza akili ya kocha Mgunda hakujua kama atacheza michezo miwili tu, yeye alijua hata wakifanya vibaya mechi ya kwanza watafanya vyema michezo iliyobaki na kufuzu. Ndio maana walichukulia poa mechi ya kwanza.

La pili ni kwamba imani ilikuwa kubwa kuwa kwa Simba ni timu kubwa basi kila mchezaji akipewa nafasi ataweza kuonesha ubora wake hasa ukizingatia ki ubora anawazidi Mlandege parefu ila wameshindwa tu kujua kuwa ukiachana na first eleven ya Simba, wachezaji waliobaki ni wa kucheza ligi daraja la kwanza tu. Kuniamini kupita kiasi ndio kilichowatoa Simba jana na wala hawakushiriki ili watolewe.
 
Hakuna cha mpango wala nini, kwanza akili ya kocha Mgunda hakujua kama atacheza michezo miwili tu, yeye alijua hata walifanya mechi ya kwanza watafanya vyema michezo iliyobaki na kufuzu. Ndio maana walichukulia poa mechi ya kwanza.

La pili ni kwamba imani ilikuwa kubwa kuwa kwa Simba ni timu kubwa basi kila mchezaji akipewa nafasi ataweza kuonesha ubora wake hasa ukizingatia ki ubora anawazidi Mlandege parefu ila wameshindwa tu kujua kuwa ukiachana na first eleven ya Simba, wachezaji waliobaki ni wa kucheza ligi daraja la kwanza tu. Kuniamini kupita kiasi ndio kilichowatoa Simba jana na wala hawakushiriki ili watolewe.
Kuhusu Mgunda na idadi ya mechi uko sahihi.
 
Siku hizi watu hawafanyi kazi kwa ajili ya sifa. Bila pesa ya maana mezani utapata tabu sana, waulize Yanga.
 
Habari wanajukwaa wa JF, Naamini mwaendelea vyema kabisa huko bongo .. Mimi ndugu yenu nipo hapa Canada baridi ni kali kweli kweli ila wakati huu ambao nimepumzika hapa na mchepuko wangu wa kizungu (maana mkewangu kaja huko Tanzania kusalimia wazee) nimeona nishee jambo kidogo kuhusu mambo ya soka la kibongo..

Ukitazama kikosi kilichopangwa jana kwenye mechi ya Simba sc Vs Mlandege kama wewe una IQ ya juu utagundua mambo mengi sana ila kubwa zaidi ni mkakati wao wa kutotaka kushiriki kombe hilo ili kutunza nguvu ya kikosi chao tegemezi kwa ajili ya kombe la Klabu bingwa Afrika maana kule ndiko Simba Sc inapokula pesa za kutosha na kuifanya klabu yao kuwa imara.

Ni wazi mpango wao ulifanikiwa japo mashabiki wengi wamepiga kelele na kutukana matusi mengi ila ukilitazama jambo hili kwa undani unagundua Viongozi wa simba sc wamefurahi kwakuwa mpango wao umefanikiwa kwa 100%.

Kitendo cha benchi la ufundi kuingiza reserve players na baadhi ya wachezaji kutoka timu ya vijana(Simba Sc B) ni wazi Simba Sc hili kombe hawakutaka tu kushiriki na hawalitaki kwakuwa halina manufaa wala thamani kwao wameamua tu kwenda zanzibar kutest hao reserved players kuona ni nani abaki na nani wamtimue msimu ujao, pili wameenda tu zanzibar kutembea tu na kutalii kwa ajili ya refreshment ya kikosi chao ila akili zao zote zipo CAF maana hata kombe la NBC wamelikosa kwakuwa akili na mipango yao yote ipo CAF ambako nako bado kuna sintofahamu kibao..

Wacha nizime simu sasa nile mbususu ya kizungu🙂
Ni mimi balozi wenu wa kujiteua! - Mcanada.
Kuna mchepuko aliniambia ana mme wake Canada sasa ngoma iko droo.
 
Habari wanajukwaa wa JF, Naamini mwaendelea vyema kabisa huko bongo.

Mimi ndugu yenu nipo hapa Canada baridi ni kali kweli kweli ila wakati huu ambao nimepumzika hapa na mchepuko wangu wa kizungu (maana mkewangu kaja huko Tanzania kusalimia wazee) nimeona nishee jambo kidogo kuhusu mambo ya soka la kibongo.

Ukitazama kikosi kilichopangwa jana kwenye mechi ya Simba sc Vs Mlandege kama wewe una IQ ya juu utagundua mambo mengi sana ila kubwa zaidi ni mkakati wao wa kutotaka kushiriki kombe hilo ili kutunza nguvu ya kikosi chao tegemezi kwa ajili ya kombe la Klabu bingwa Afrika maana kule ndiko Simba Sc inapokula pesa za kutosha na kuifanya klabu yao kuwa imara.

Ni wazi mpango wao ulifanikiwa japo mashabiki wengi wamepiga kelele na kutukana matusi mengi ila ukilitazama jambo hili kwa undani unagundua Viongozi wa simba sc wamefurahi kwakuwa mpango wao umefanikiwa kwa 100%.

Kitendo cha benchi la ufundi kuingiza reserve players na baadhi ya wachezaji kutoka timu ya vijana(Simba Sc B) ni wazi Simba Sc hili kombe hawakutaka tu kushiriki na hawalitaki kwakuwa halina manufaa wala thamani kwao wameamua tu kwenda zanzibar kutest hao reserved players kuona ni nani abaki na nani wamtimue msimu ujao.

Pili wameenda tu zanzibar kutembea tu na kutalii kwa ajili ya refreshment ya kikosi chao ila akili zao zote zipo CAF maana hata kombe la NBC wamelikosa kwakuwa akili na mipango yao yote ipo CAF ambako nako bado kuna sintofahamu kibao..

Wacha nizime simu sasa nile mbususu ya kizungu🙂
Ni mimi balozi wenu wa kujiteua! - Mcanada.
Mlipakatwa uzuri tu na jamaa Mlasimba.
 
Habari wanajukwaa wa JF, Naamini mwaendelea vyema kabisa huko bongo.

Mimi ndugu yenu nipo hapa Canada baridi ni kali kweli kweli ila wakati huu ambao nimepumzika hapa na mchepuko wangu wa kizungu (maana mkewangu kaja huko Tanzania kusalimia wazee) nimeona nishee jambo kidogo kuhusu mambo ya soka la kibongo.

Ukitazama kikosi kilichopangwa jana kwenye mechi ya Simba sc Vs Mlandege kama wewe una IQ ya juu utagundua mambo mengi sana ila kubwa zaidi ni mkakati wao wa kutotaka kushiriki kombe hilo ili kutunza nguvu ya kikosi chao tegemezi kwa ajili ya kombe la Klabu bingwa Afrika maana kule ndiko Simba Sc inapokula pesa za kutosha na kuifanya klabu yao kuwa imara.

Ni wazi mpango wao ulifanikiwa japo mashabiki wengi wamepiga kelele na kutukana matusi mengi ila ukilitazama jambo hili kwa undani unagundua Viongozi wa simba sc wamefurahi kwakuwa mpango wao umefanikiwa kwa 100%.

Kitendo cha benchi la ufundi kuingiza reserve players na baadhi ya wachezaji kutoka timu ya vijana(Simba Sc B) ni wazi Simba Sc hili kombe hawakutaka tu kushiriki na hawalitaki kwakuwa halina manufaa wala thamani kwao wameamua tu kwenda zanzibar kutest hao reserved players kuona ni nani abaki na nani wamtimue msimu ujao.

Pili wameenda tu zanzibar kutembea tu na kutalii kwa ajili ya refreshment ya kikosi chao ila akili zao zote zipo CAF maana hata kombe la NBC wamelikosa kwakuwa akili na mipango yao yote ipo CAF ambako nako bado kuna sintofahamu kibao..

Wacha nizime simu sasa nile mbususu ya kizungu🙂
Ni mimi balozi wenu wa kujiteua! - Mcanada.
Ukitaka niamini, mjilegeze basi na leo ili KVZ wajipigie hata vigoli viwili tu.
 
Kupoteza muda tu, bora nijue timu iko mapumzikoni kuliko kuambiwa iko "mashindanoni" Zanzibar..
Ni bora ili wafanyakazi hewa wajulikane ni vituko utafikiri vijana wa secondary.
 
Inabidi muelewe katika pro sports yoyote, wachezaji wa ziada hasa wale ambao huwa hawachezi kabisa katika mechi huwa wanatumika zaidi mazoezini katika kuwapa support wale walio tegemeo. Hilo ndiyo jukumu lao la kwanza.

Mara moja moja sana hawa wachezaji wa akiba mmoja mmoja anaweza akatumika katika mechi pale inapobidi sana lakini ni nadra sana kukuta mechi ya ushindani, zaidi ya wachezaji watatu wasio tegemeo katika timu wanachezeshwa kwa pamoja.

Shida ya Simba ni kuwa baadhi ya wachezaji hawa wanalipwa pesa nyingi zaidi ya majukumu yao katika timu, ingawa hapa labda tunaongelea wachezaji wawili au watatu na hilo hata sina uhakika nalo. Pia watu walikuwa na mategemeo makubwa na baadhi yao, mfano Okwa au Kapama walipoletwa ingawa hawajawahi kukuzwa na wasemaji wa timu kuwa wana uwezo mkubwa.

Hivi Kyombo alivyoletwa Simba, kuna mtu ndani ya Simba alisema tutegemee makubwa kutoka kwake? Au Okwa?
 
Habari wanajukwaa wa JF, Naamini mwaendelea vyema kabisa huko bongo.

Mimi ndugu yenu nipo hapa Canada baridi ni kali kweli kweli ila wakati huu ambao nimepumzika hapa na mchepuko wangu wa kizungu (maana mkewangu kaja huko Tanzania kusalimia wazee) nimeona nishee jambo kidogo kuhusu mambo ya soka la kibongo.

Ukitazama kikosi kilichopangwa jana kwenye mechi ya Simba sc Vs Mlandege kama wewe una IQ ya juu utagundua mambo mengi sana ila kubwa zaidi ni mkakati wao wa kutotaka kushiriki kombe hilo ili kutunza nguvu ya kikosi chao tegemezi kwa ajili ya kombe la Klabu bingwa Afrika maana kule ndiko Simba Sc inapokula pesa za kutosha na kuifanya klabu yao kuwa imara.

Ni wazi mpango wao ulifanikiwa japo mashabiki wengi wamepiga kelele na kutukana matusi mengi ila ukilitazama jambo hili kwa undani unagundua Viongozi wa simba sc wamefurahi kwakuwa mpango wao umefanikiwa kwa 100%.

Kitendo cha benchi la ufundi kuingiza reserve players na baadhi ya wachezaji kutoka timu ya vijana(Simba Sc B) ni wazi Simba Sc hili kombe hawakutaka tu kushiriki na hawalitaki kwakuwa halina manufaa wala thamani kwao wameamua tu kwenda zanzibar kutest hao reserved players kuona ni nani abaki na nani wamtimue msimu ujao.

Pili wameenda tu zanzibar kutembea tu na kutalii kwa ajili ya refreshment ya kikosi chao ila akili zao zote zipo CAF maana hata kombe la NBC wamelikosa kwakuwa akili na mipango yao yote ipo CAF ambako nako bado kuna sintofahamu kibao..

Wacha nizime simu sasa nile mbususu ya kizungu🙂
Ni mimi balozi wenu wa kujiteua! - Mcanada.
Ila mbona wachezaji wao ni wabovu sana.
 
Back
Top Bottom