lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
- Thread starter
-
- #61
Asante MkuuMzee Strikes again! Nakumbka enzi hizo za Mzee Punch UDSM -Mlimani. Mzee warns of tampering with Mzee's publication on the sacred wall!
Temper na CDM uone makali yake! "Mzee" jiwe ameshang'amua!
Watu wasioijua acacia wanadhani acacia si Barrick wakati ndiyo wale wale wakitaka kuamini waambie wakachunguze hata nembo ya Barrick na ya acacia wakikuta tofauti yoyote waje hapa kumsifu waliyemsifu kuwa anapambana na wezi..acacia haijapotea ktk ramani ya dhahabu za bongo.
..kampuni ya kwanza kuingia nchini ilikuwa barrick gold.
..baadae wakabadilisha jina wakawa wanaitwa african barrick gold.
..halafu mwaka 2014 wakabadilika tena wakaitwa acacia.
..kilichotokea ni minority shareholders kuuza hisa zao ili majority shareholder/barrick waweze kuyamaliza na serikali ya Tz.
..waTz huku mtaani tulipigwa changa la macho kuaminishwa kwamba waliokuwa wakituibia ni acacia na siyo barrick.
..kama aliyekuwa anatuibia ni acacia kwanini serikali ilikuwa inafanya mazungumzo na barrick?
njaa imewapa akili kila mtu anajua pombe ndo imeleta njaa solution ni kutokulewa tena tukilewa agin tumekwiiishaManeno kama hayo ni ya kawaida sana. Huko mitaani kwenye sanduku la kura ndio msema kweli. Unajua mgombea wa cdm ni maarufu sana kwa baadhi ya watu walioelimika lakini huko mtaani hata hizi kukulukakala zake hawajui kama zipo.
Nguvu ya Magufuli huko mitaani sio jambo la kuchukulia kitoto. Mzee ana nguvu za hatari sana.
Huu uchaguzi ccm watashinda mapema sana.
Sawa,Asante,ubarikiwe.lisu anatafuta mke wa pili wahi nafasi ukaolewe nae,
watz wana njaa hatari,kurudia kosa again watkufa kabisa.Hali ya kupiga kura imerudi kwa kasi sana baada ya lisu kuchukua fomuRais wetu na Mwenyekiti wetu mpendwa usiwe na wasiwasi huku mtaani upinzani hakuna, tena huna haja ya kufanya kampeni wewe pumzika tu watanzania kazi yako wanaikubali na kura watakupigia.
Awamu hii imejimaliza yenyewe kwa matendo maouvu iliyowatendea wtz mfano kuwasomesha watu namba hili ni kosa kubwa ililofanya.
Nguvu yake ilikuwa alipokuwa na uwanja wa media peke yake ila kupitia kampeni hakika huyu atakuwa dhaifu mno maana hakuna alichokifanya akakamilisha yaani namwonea huruma ila nabaki tu kusema aliyataka mwenyewe haya.watu hupenda sana uhuru wateme nyongo tu ukiwazuia watakusumbua mno later maana hawawezi kushindwa kujinasua maana mwanadamu anapenda uhuru zaidi rejea EDENI utagundua Hawa na Adam walitaka kujua mengi kuliko waliyotakiwa kuyajua ina maana waliona ni kama hawapo free kiasiManeno kama hayo ni ya kawaida sana. Huko mitaani kwenye sanduku la kura ndio msema kweli. Unajua mgombea wa cdm ni maarufu sana kwa baadhi ya watu walioelimika lakini huko mtaani hata hizi kukulukakala zake hawajui kama zipo.
Nguvu ya Magufuli huko mitaani sio jambo la kuchukulia kitoto. Mzee ana nguvu za hatari sana.
Huu uchaguzi ccm watashinda mapema sana.
Ukisikia mbuni kaingiza kichwa kwenye mchanga ndo hiviManeno kama hayo ni ya kawaida sana. Huko mitaani kwenye sanduku la kura ndio msema kweli. Unajua mgombea wa cdm ni maarufu sana kwa baadhi ya watu walioelimika lakini huko mtaani hata hizi kukulukakala zake hawajui kama zipo.
Nguvu ya Magufuli huko mitaani sio jambo la kuchukulia kitoto. Mzee ana nguvu za hatari sana.
Huu uchaguzi ccm watashinda mapema sana.
true halafu watu wanayo mengi ya kutema nyongo sababu wamezuiwa miaka 5 wakati yeye alishayamaliza ya kusema.Hana jipya zaidi la kuwaambia watz zaidi ya sgr,ndege na bwawa plus mabeberu,utadhani anaongea na kizazi cha miaka ya 70 cha enzi za mwalimu.Hiki ni cha dot com global vision hana uwezo wa kukisawishi,pombe alibebwa tu na upepo wa chagua MAGUFULI baada ya watu kuichoka ccm na sababu watz awakukijua kikombe kwa ndani but tayari kila mtu ameijua rangi yake halisi.Utawaambia vijijini waenye njaa eti mabeberu hali wanakufa njaa.Nguvu yake ilikuwa alipokuwa na uwanja wa media peke yake ila kupitia kampeni hakika huyu atakuwa dhaifu mno maana hakuna alichokifanya akakamilisha yaani namwonea huruma ila nabaki tu kusema aliyataka mwenyewe haya.watu hupenda sana uhuru wateme nyongo tu ukiwazuia watakusumbua mno later maana hawawezi kushindwa kujinasua maana mwanadamu anapenda uhuru zaidi rejea EDENI utagundua Hawa na Adam walitaka kujua mengi kuliko waliyotakiwa kuyajua ina maana waliona ni kama hawapo free kiasi
Umeandika upotolo!Always never underestimate your enemy(opponent). Kuna dogo alimpiga mtama baunsa wa msanii flani maarufu kule Tandale, mbavu alilamba mchanga sababu ya dharau zake kwa dogo hakujiandaa.
Acacia imepotea kwenye ramani ya dhahabu za Bongo sababu waliwadharau watanzania na uwezo wao kukusanya taarifa za kiintelijensia.
CHADEMA inapata taabu kwenye uchaguzi huu sababu walimdharau Magufuli hajui siasa, walimdharau Polepole na wenzie hawakudhania wanaweza siasa na fitina za kisiasa kiwango hiki.
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Tutanyooka kwelikweli akiya nani!??Tukikosea tena tumekwishwa
Ni kinyume chake ccm ndio inakufa.Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo.
Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema haitasimama tena.
Sasa nilichoshuhudia kutoka kwenye kinywa cha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ndio tuliambiwa kaua Upinzani na kaua Chadema, nimeshangaa Sana. Kumbe Mkubwa kweli kapaniki.
Amesikika akisema, "Msipuuze mkazembea kwenye kampeni kwamba tayari tumeshinda,
hapana. Tena safari hi tutafanya kazi kweli, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda".
Akaendelea kusema, "Tena niwahakikishie safari hi tutafanya kazi kweli (kampeni)."
Msipuuze mkidhani timeshashinda, tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda.
Kwanini kufanya kampeni kwelikweli, tena kitanda kwa kitanda? Mnashindana na nani wakati Upinzani umekufa na ninyi mnakubalika, mnapendwa na mmefanya mambo ambayo hayajafanywa na awamu yeyote?
Haya maneno yanafuta kabisa yale maneno kuwa Upinzani umekufa nchini, Magufuli kaua upinzani, na Chadema haitatamalaki tena.
Haya maneno yamefuta kabisa yale maneno kuwa Magufuli kaua upinzani, upinzani umekufa.
Return of the Lissu,
Lissu strikes again,
Lissu is back,
Lissu is back in town.
Atalipiza kisasi Sana huyu mpenda bifu na ligi, furaha yake ni kuona watu wakilia.Tutanyooka kwelikweli akiya nani!??
Kama wasira alivokufa kibudu alee wajukuu bungeni hakusahau kitu nini analitaka kukifataNi kinyume chake ccm ndio inakufa.