Waliiomba kubadilishiwa vyuo TCU Bado??

nikita clement

New Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
4
Reaction score
0
habari wapendwa
naombeni mnisaidie hili nijue watu walioomba kubadilishwa vyuo na TCU, TAYARI?? Maana nilipangiwa chuo filani na nikaomba wanibadilishe lakini sijajua kama wameshabadilisha..
asanteni
 
Bado mkuu ila kuna jamaa alinambia tujaribu kupiga simu katika chuo ulichoomba kuhamia eti majina yametumwa kwenye vyuo husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…