Jana wakati nipo nimekaa wakaja walokole 5 na mgeni 1.
Wakaniuliza nina matatizo gani? Yaani changamoto gani ktk maisha inanisumbua.
Nikawaambia sina pesa . Jamaa wakaniambia nifumbe macho tuanze kuomba kwa jina la Yesu nitakuwa tajiri.
Nikiwatizama wenyewe wamevaa yebo yebu , mguu kuku mguu bata.
Nikacheka sana. Nikawa najiuliza kimono kimoyo wao hawataki kuwa matajiri mbona wenyewe wamechoka?
Nikawaambia basi , nikasema kimoyo kimoyo wasije kunitupia mapepo
Wakaniuliza nina matatizo gani? Yaani changamoto gani ktk maisha inanisumbua.
Nikawaambia sina pesa . Jamaa wakaniambia nifumbe macho tuanze kuomba kwa jina la Yesu nitakuwa tajiri.
Nikiwatizama wenyewe wamevaa yebo yebu , mguu kuku mguu bata.
Nikacheka sana. Nikawa najiuliza kimono kimoyo wao hawataki kuwa matajiri mbona wenyewe wamechoka?
Nikawaambia basi , nikasema kimoyo kimoyo wasije kunitupia mapepo