Wenyewe wamevaa viatu mbele vimechanikaSasa kama kuna kitu kibaya kinazuia usiwe tajiri kwa nini usiombewe pepo hilo likutoke? Wamefanya vema watu hao unaowaita kwa kejeli eti ni walokole
Ulivyowatazama, wao wenyewe wana dalili za kuwa matajiri?Jana wakati nipo nimekaa wakaja walokole 5 na mgeni 1.
Wakaniuliza nina matatizo gani? Yaani changamoto gani ktk maisha inanisumbua.
Nikawaambia sina pesa . Jamaa wakaniambia nifumbe macho tuanze kuomba kwa jina la Yesu nitakuwa tajiri.
Nikiwatizama wenyewe wamevaa yebo yebu , mguu kuku mguu bata.
Nikacheka sana. Nikawa najiuliza kimono kimoyo wao hawataki kuwa matajiri mbona wenyewe wamechoka?
Nikawaambia basi , nikasema kimoyo kimoyo wasije kunitupia mapepo
Wanatembea viatu mbele vimetobokaUlivyowatazama, wao wenyewe wana dalili za kuwa matajiri?
Anajitungia mastory huyo, kila siku linaanzisha uzi zinazohusu ukristo tu, nashindwa kumuelewa sijui hana mishe zingine zaidi ya kufikiria ukristo kila kukicha.Utafunguliwa hivi karibuni.
Mbona hukuwauliza miongoni mwao walikuwepo matajiri wangapi?Jana wakati nipo nimekaa wakaja walokole 5 na mgeni 1.
Wakaniuliza nina matatizo gani? Yaani changamoto gani ktk maisha inanisumbua.
Nikawaambia sina pesa . Jamaa wakaniambia nifumbe macho tuanze kuomba kwa jina la Yesu nitakuwa tajiri.
Nikiwatizama wenyewe wamevaa yebo yebu , mguu kuku mguu bata.
Nikacheka sana. Nikawa najiuliza kimono kimoyo wao hawataki kuwa matajiri mbona wenyewe wamechoka?
Nikawaambia basi , nikasema kimoyo kimoyo wasije kunitupia mapepo
Wakuombee uwe tajiri au upone malaria mkuu.Jana wakati nipo nimekaa wakaja walokole 5 na mgeni 1.
Wakaniuliza nina matatizo gani? Yaani changamoto gani ktk maisha inanisumbua.
Nikawaambia sina pesa . Jamaa wakaniambia nifumbe macho tuanze kuomba kwa jina la Yesu nitakuwa tajiri.
Nikiwatizama wenyewe wamevaa yebo yebu , mguu kuku mguu bata.
Nikacheka sana. Nikawa najiuliza kimono kimoyo wao hawataki kuwa matajiri mbona wenyewe wamechoka?
Nikawaambia basi , nikasema kimoyo kimoyo wasije kunitupia mapepo
Ungewaambia wajiombee kwanza wenyewe ili waupate huo utajiri.!!Wanatembea viatu mbele vimetoboka
😆 hahaaWakuombee uwe tajiri au upone malaria mkuu.
Naona Bora wangeanza kukuombea upone malaria maana malaria ndiyo inakufanya uone wamevaa yebo yebo.
wamekutanguliza kwanza wewe utajirike na mwisho wao nao watatajirikaWenyewe wamevaa viatu mbele vimechanika