Walim wa geografia saidia kudadafua hapa

Walim wa geografia saidia kudadafua hapa

KITWANGAUTAM

Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
80
Reaction score
18
upo class unafundisha geo mada ni rotion of the earth...mwanafunz akauliza kwa hiyo kama dunia inajizungusha na sis bila shaka tunazunguka pia, lakin mbona dakika hii hapa tulipo hatuzunguki na ile hali unasema dunia inajizungusha wakati wote? Plz tusaidiane namna ya kumwelekeza.
 
Ni rotation of the earth sio rotion! . Ni hayo tu.
 
upo class unafundisha geo mada ni rotion of the earth...mwanafunz akauliza kwa hiyo kama dunia inajizungusha na sis bila shaka tunazunguka pia, lakin mbona dakika hii hapa tulipo hatuzunguki na ile hali unasema dunia inajizungusha wakati wote? Plz tusaidiane namna ya kumwelekeza.

Mbona rahisi sana.?
Jibu ni kwamba vitu vyote vilivyo katika dunia navyo vinarotate, so hamna relative motion baina ya objects vilivyo duniani. kwa ufupi ni hivyo.
 
Very simple. Sisi ni sehemu ya mzunguko huo hatuwezi kuuona wala kufeel.
 
Rekebisha heading mkuu....sio kudadafua ni kudadavua...lol!
 
Mbona rahisi sana.?
Jibu ni kwamba vitu vyote vilivyo katika dunia navyo vinarotate, so hamna relative motion baina ya objects vilivyo duniani. kwa ufupi ni hivyo.

Nimependa idea yako mkuu...j3 nazama class kwa mbwembwe
 
Walim 2tafika? Unatakiwa ushughulishe akili na kufikiria fasta la cvyo utaumbuka huko dasasan. Na mim nna swali nikuulize?
 
Hii ni kwasababu vyote vilivyomo duniani navyo vinazunguka.kinachoonekanahapo ni upepo kwani unaenda kukingana na uelekeo wa dunia(curiolis )
 
very simple,assume huko ndani ya gari lenye vioo vyote vyeusi yaani hakuna kuona vitu vya nje,kisha hiyo barabara ni smooth surface hakuna hata colgation,hivi gari itakapokuwa inatembea na wewe uliyendani ya hiyo gari utahisi unatembea? ukishafahamu hapo rotation & revolution kwisha habari yake,mkuu kama wewe ni mwalimu kweli hiyo topic ya solar system fundisha baada ya term ya pili la sivyo watoto watakuchukia watasema hujui kufundisha,concept zake zinawatinga sana watoto wa form one,kazi njema mkuu!
 
Dunia ina mizunguko miwili
mzunguko wa kwanza ni Rotation (dunia kujizunguka yenyewe kwa masaa24, huzalisha usiku na machana)
mzunguko wa pili Revolution (dunia kulizunguka jua siku 365 huzalisha majira:kiangazi,Vuli,Masika, baridi)
 
upo class unafundisha geo mada ni rotion of the earth...mwanafunz akauliza kwa hiyo kama dunia inajizungusha na sis bila shaka tunazunguka pia, lakin mbona dakika hii hapa tulipo hatuzunguki na ile hali unasema dunia inajizungusha wakati wote? Plz tusaidiane namna ya kumwelekeza.

wape huu mfano wa comparison kuwa bakteria akiwa juu ya mpira(size 4 fifa) kutokana na udogo wake na ukubwa wa mpira ukiuzungusha ule mpira yule bakteria hawezi kuhisi chochote uwiano sawa kwa sisi binadamu ukilinganisha na ukubwa wa dunia
 
wape huu mfano wa comparison kuwa bakteria akiwa juu ya mpira(size 4 fifa) kutokana na udogo wake na ukubwa wa mpira ukiuzungusha ule mpira yule bakteria hawezi kuhisi chochote uwiano sawa kwa sisi binadamu ukilinganisha na ukubwa wa dunia

even sisimizi!
 
Back
Top Bottom