Walimbwende wa kucha na wabandikaji wao pitieni hapa

Walimbwende wa kucha na wabandikaji wao pitieni hapa

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hivi karibuni nategemea kuanza biashara ya kubandika kucha bandia na kupaka rangi kucha!

View attachment 2221836
Kwa wale wenye uzoefu na kazi hii naomba msaada wa mahali naweza pata chimbo la vifaa vyote vinavyohusika na bei zake kwa hapa Dar! Nitafanya kwa kukatiza nyumba hadi nyumba kufuata wateja! Pia mwenye uzoefu na rangi bora za kawaida anitajie jina lake!

View attachment 2221837
Pia kwa mwenye kufahamu mitaa ipi ina wateja wengi anisaidie!

Bila kusahau changamoto pia!

View attachment 2221839
Kwa wateja wa huduma hizi anambie gharama mnazotozwa kubandikwa kucha bandia na kupakwa rangi za kawaida

Matumaini yangu nitafanikiwa!
 
Hizi ni bei za wapaka rangi mtaani;

Bei ya rangi ya kucha ya kawaida ni sh 2000, rangi ya jeri ni elfu 5

Kubandika kucha na rangi ya jeri mikono na miguu ni sh elfu 16000
 
Hizi ni bei za wapaka rangi mtaani;

Bei ya rangi ya kucha ya kawaida ni sh 2000, rangi ya jeri ni elfu 5

Kubandika kucha na rangi ya jeri mikono na miguu ni sh elfu 16000
Kwa hiyo 2,000 ni kucha za vidole vya mikono tu, au mikono na miguu?

Na vipi kuhusu gharama za ubandikaji kucha na upakaji wa rangi za kawaida?
a)kucha za vidole vya mkono
b)kucha za vidole vya miguu
 
Kwa hiyo 2,000 ni kucha za vidole vya mikono tu, au mikono na miguu?

Na vipi kuhusu gharama za ubandikaji kucha na upakaji wa rangi za kawaida?
a)kucha za vidole vya mkono
b)kucha za vidole vya miguu
2000 ni mikono tu, hivyo pamoja na miguu 4000.

Ubandikaji kucha na rangi ya kawaida, subiri waje wajuzi...
 
Back
Top Bottom