Walimu acheni kujidhalilisha kwa vitu vidogo vidogo

Walimu acheni kujidhalilisha kwa vitu vidogo vidogo

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Nilienda bank ya nmb kwa lengo la kupata huduma flani ya kifedha. Kwenye ATM pale nikaona msururu wa watu wamejipanga kutaka kutoa pesa.nikadodosa nikaambiwa wengi wao ni walimu mishahara imetoka, nikafanya utafiti wa tofauti ya kutoa pesa kwenye ATM na kwa wakala ni how much nikaona tofauti ni kama mia tano tu.

Nikajisemea hawa walimu ni kwamba hawana kazi za kufanya au hawana akili,yani sh mia tano ndio ikupangishe kwenye mstari karibu masaa mawili?

Nyie walimu acheni kujidhalilisha bana.
 
Hii nchi walimu ndio punching bag ya kila mtu,Rais akitaka kutukana wananchi basi hutumia majukwaa ya walimu kutukuna wananchi.
Job we have.
 
Nilienda bank ya nmb kwa lengo la kupata huduma flani ya kifedha. Kwenye ATM pale nikaona msururu wa watu wamejipanga kutaka kutoa pesa.nikadodosa nikaambiwa wengi wao ni walimu mishahara imetoka, nikafanya utafiti wa tofauti ya kutoa pesa kwenye ATM na kwa wakala ni how much nikaona tofauti ni kama mia tano tu.

Nikajisemea hawa walimu ni kwamba hawana kazi za kufanya au hawana akili,yani sh mia tano ndio ikupangishe kwenye mstari karibu masaa mawili?

Nyie walimu acheni kujidhalilisha bana.
Huwajui walimu wewe....wanakiherehere hao watu sijui wanajifichaga nyuma ya benki wakihisi mshahara unakaribia yaaan wanajazana benki mpaka unahisi mshahara usingetoka hiyo siku wangekufa njaaa na wanarundika a haooo.....nyie walim kuepuka fedheha ndogondogo tafuteni vitu vingine vya kuwasaidia maisha
 
Mchengerewa hili nalo ukalitazame
Nilienda bank ya nmb kwa lengo la kupata huduma flani ya kifedha. Kwenye ATM pale nikaona msururu wa watu wamejipanga kutaka kutoa pesa.nikadodosa nikaambiwa wengi wao ni walimu mishahara imetoka, nikafanya utafiti wa tofauti ya kutoa pesa kwenye ATM na kwa wakala ni how much nikaona tofauti ni kama mia tano tu.

Nikajisemea hawa walimu ni kwamba hawana kazi za kufanya au hawana akili,yani sh mia tano ndio ikupangishe kwenye mstari karibu masaa mawili?

Nyie walimu acheni kujidhalilisha bana.
 
Siku taifa langu litakapo anza kuithamini sekta ya elimu kiukweli ukweli. Maisha ya waalimu hayatakuwa kama haya tunayoyaona sasa. Nasikia mataifa yaliyotuacha nyuma hatua ndefu kwao ELIMU inathamani kama vile au karibu sawa na AFYA. Elimu ni Waalimu na Wakufunzi, maendeleo ya taifa lolote lile dunuani yanategemea sekta ya Elimu, haitoshi tuu kuwa na Supreme Leaders kwenye Wizara ambao wana elimu kubwa. Bali tunatakiwa kuwa na Watendaji mahiri(competent) ili waje waandae vizazi vijavyo vitakavyoweza kutatua changamoto mtambuka kwenye jamii.
Mimi nawaheshimu sanaa Waalimu, naweza kusema hata yule ambaye alinifundisha mara nane tuu pale Advance namkumbuka nakumthamini sanaa kwani kuna tofali lake kwenye career yangu.
 
Enzi zetu ualimu ulikuwa ni wa waliofeli....utasikia yaan kafeli hawezi kupata hata ualimu!!! Ila na wenyewe walim hasa wa vijijin wanavojiweka acha wadharauliwe tu hamna jinsi
 
Unatuonea wivu tu wenzako tumepanga foleni kuchukua mishahara wewe umekuja kwa nia ya kuomba mkopo
 
Back
Top Bottom