Watabanaaaa....wataachia,la muhimu tuwe wavumilivu tu,na waswahili husema'mzigo huwa ni mzito unapokaribia mwisho wa safari' na 'mateso yakizidi wokovu unakaribia'.
Nimesubiria saana! nkajua labda januar nayo ndohyo inakata, walsema wanasubir kibal kutoka u2mish kuanzia FEBRUARY 1 - MARCH 30, km cyo kurpot mwez wa 4 hapa cjuii!.... mfano zkatoka march 15 we unafikiri kuripot lin!... ama kwel SERIKALI imetingwaa!.......!
Pole kjana!
Mkuu Kama Umefaulu Lazima Uajiriwe! Ila Kama Una Sup...!
Hyo uhakika ndg yang allan sema nachowaza saiv npo wap na lin
Ajira zinatoka kwa awamu' awamu ya kwanza February' awamu ya pili April' over
Hata Waajiri Kwa Mafungu Suala Msingi Ni Kuwa Ajira Ni Given Kama "Pie!" Na Awamu Ya Pili Huwa Kwa Ajili Ya Kuziba Nafas Za Wale Ambao Hawakwenda kuripoti