Mpenda kazi
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 178
- 104
Habari wadau?
Nimekaa nakutafakari mwenendo wa serikali yetu hii tokea mwaka huu 2015 ulipoingia. Mwanzo kabisa walikuwa wakisua sua kutuajiri kwa kile kilichoelezwa kuwa serikali haina pesa za kutosha.
Haya sawa mara ilipofika tareh 27 april wakaamua kutuajiri kwa mizengwe zengwe hivyo hivyo. Wakatuambia turipoti halmashauri kuanzia tareh 1 May - 9 May.
Tukaripoti, lakini cha ajabu wao walituahidi kuwa fedha za kujikimu tutazikuta hukohuko yaani zimeshatumwa. Sote tunafahamu katika halmashauri nyingi hakukuwa na fedha bali halmashauri zenyewe zilitoa fedha kutoka katika vyanzo vyake.
Ndio mkaona baadhi wamepewa hela za siku tatu, wengine siku nne, wengine nusu ya hela na wengine wakapewa zote japo bado fedha za mizigo hazijatolewa. Na wengine hawajapewa kabisaaa......
Na mbaya zaidi serikali ipo katika kipindi cha bajet, kipindi ambacho serikali huwa inajifanya kubana sana matumizi hadi hapo bajet zake zitakapopitishwa....
Wanafunzi wa vyuo vikuu wanagoma mikopo yao hawajapewa.....
Sasa najiuliza kwa mizengwe hiyo sisi walimu wapya tutapata mishahara ya mwezi huu kweli?
Naomba pia kwa wale waoefu watujuze.
Asanteni
Naomba kuwasilisha......
Nimekaa nakutafakari mwenendo wa serikali yetu hii tokea mwaka huu 2015 ulipoingia. Mwanzo kabisa walikuwa wakisua sua kutuajiri kwa kile kilichoelezwa kuwa serikali haina pesa za kutosha.
Haya sawa mara ilipofika tareh 27 april wakaamua kutuajiri kwa mizengwe zengwe hivyo hivyo. Wakatuambia turipoti halmashauri kuanzia tareh 1 May - 9 May.
Tukaripoti, lakini cha ajabu wao walituahidi kuwa fedha za kujikimu tutazikuta hukohuko yaani zimeshatumwa. Sote tunafahamu katika halmashauri nyingi hakukuwa na fedha bali halmashauri zenyewe zilitoa fedha kutoka katika vyanzo vyake.
Ndio mkaona baadhi wamepewa hela za siku tatu, wengine siku nne, wengine nusu ya hela na wengine wakapewa zote japo bado fedha za mizigo hazijatolewa. Na wengine hawajapewa kabisaaa......
Na mbaya zaidi serikali ipo katika kipindi cha bajet, kipindi ambacho serikali huwa inajifanya kubana sana matumizi hadi hapo bajet zake zitakapopitishwa....
Wanafunzi wa vyuo vikuu wanagoma mikopo yao hawajapewa.....
Sasa najiuliza kwa mizengwe hiyo sisi walimu wapya tutapata mishahara ya mwezi huu kweli?
Naomba pia kwa wale waoefu watujuze.
Asanteni
Naomba kuwasilisha......