Walimu Geita: Kichinjio cha Msukuma tunacho sisi

Walimu Geita: Kichinjio cha Msukuma tunacho sisi

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Walimu wengi vijana ndani ya jimbo la uchaguzi la mbunge Msukuma wameapa kufa naye kwenye uchaguzi mkuu ujao na kamwe watamwonyesha wao ni wasomi ndiyo maana wanasimamia uchaguzi umhusuyo.

"....yeye si bingwa wa kututukana sisi wenye degree na kututweza kwamba hatuna lolote basi asubiri usio na lolote wetu 2025 Oktoba."

"....yaani sisi tunasimamia uchakajuaji wake na vitisho juu tunavumilia zaidi ya siku nne kwa malipo ya sawa na posho yake ya siku halafu akifika huko mjengoni kutwa anatutukana wasomi huku anatudharau wewe mwache."

".... hivi bro unaanzaje kumtweza mtu aliye kusaidia kufika hapo ulipo? Hivi yule jamaa ana akili kweli!!!?"

"....yaani naapa labda nisisimamie ila vinginevyo nitamkomesha yule (tuci)!"

Wasimamizi watarajiwa.
 
FB_IMG_1684176316586.jpg
 
Hivi hizi jamii ambazo zinakubali kuongozwa na wabunge wenye sifa za kuokoteza, na za hapa na pale, huwa zinatumia vigezo gani?
 
Walimu wengi vijana ndani ya jimbo la uchaguzi la mbunge Msukuma wameapa kufa naye kwenye uchaguzi mkuu ujao na kamwe watamwonyesha wao ni wasomi ndiyo maana wanasimamia uchaguzi umhusuyo.

"....yeye si bingwa wa kututukana sisi wenye degree na kututweza kwamba hatuna lolote basi asubiri usio na lolote wetu 2025 Oktoba."

"....yaani sisi tunasimamia uchakajuaji wake na vitisho juu tunavumilia zaidi ya siku nne kwa malipo ya sawa na posho yake ya siku halafu akifika huko mjengoni kutwa anatutukana wasomi huku anatudharau wewe mwache."

".... hivi bro unaanzaje kumtweza mtu aliye kusaidia kufika hapo ulipo? Hivi yule jamaa ana akili kweli!!!?"

"....yaani naapa labda nisisimamie ila vinginevyo nitamkomesha yule (tuci)!"

Wasimamizi watarajiwa.
Kwanini usijulikane kama baaar vichaa?
 
Back
Top Bottom