Walimu graduates (degree only) naomba kuuliza hili

baphie

Member
Joined
Dec 1, 2011
Posts
78
Reaction score
37
Jamani eti ni kweli na wale non graduants wenye mataizo ya carry au supplementary nao huwa wamo katika ajira za serikali?

Please share your experience.
 
Ndio mpaka umalzane na vmeo thn next yr ndo utaajiriwa....by the way hapa sup haihusk hyo itakua ni carry coz mda ajira znatoka mitihan ya sup ishapta na kama ulshndwa kuchomoa umecarry.
 
Ndio mpaka umalzane na vmeo thn next yr ndo utaajiriwa....by the way hapa sup haihusk hyo itakua ni carry coz mda ajira znatoka mitihan ya sup ishapta na kama ulshndwa kuchomoa umecarry.

je kama jna lake lmetokea kwenye majna ya ajra mpya, inamaana aende akarpot tu kwamba yupo af akmalzana na vmeo ndo aende tena kuanza kaz rasmi?
 
Ngoma itakuja wakiomba vyeti maana alie carry hana transcript wala certificate hivyo atarazimika kutumia provisional results ambazo hazikubarika baadhi ya halmashauri. Labda abebwe maana nji hii chochote kinawezekana ndg
 
Chuo nlchomaliza wanafunzi wote wamepata ajira! Mpaka wale wenye 'carry' na waliokuwa wamefukuzwa chuo mwaka wa pili majina yao yametokelezea, mh! Nimeshangaa kweli!
 
Jamani eti ni kweli na wale non graduants wenye mataizo ya carry au supplementary nao huwa wamo katika ajira za serikali?

Please share your experience.

unavoenda kuripot kazin wanasema ni lazima uwe na transcipt so ukiwa na cary huwez kuipata may b iwe ni partial transcript yenye muhuri wa DOF tu..."mwisho wa kufikiria kwangu"
 
huwa wanaajiri ukiwa na matokeo ya semister tano na unavoenda kuripot sio lazima uende na cheti ila unatakiwa ukipate hicho cheti ndani ya miaka mitatu zaidi ya hapo huna kazi halafu ni lazima uende chuo kuna barua wanatoa kwa wenye matatizo kama hayo.
 

Ahsante kwa majbu ya msaada,je hyo barua n lazma kuchukua hata kama nna provsnal results ya semister zote japo kuna somo moja carry?
 
ahsante kwa uliye uliza swali hili kwani umetusaidia hata cc wengine.
 
Waalimu wote huwa wanaajiriwa ,Suala hapa inategemea na Halmashauri uliyopangwa,mana watakapokuomba transcript alafu huna ndo matatizo yanaanza,Kwa uzoefu nilioshuhudia kwa rafiki zangu walio carry wote wameajiriwa na salary inasoma kama kawaida ,cha msingi andaa maelezo mazuri ya kushawishi halmashauri uliyopangwa.
 
Chuo nlchomaliza wanafunzi wote wamepata ajira! Mpaka wale wenye 'carry' na waliokuwa wamefukuzwa chuo mwaka wa pili majina yao yametokelezea, mh! Nimeshangaa kweli!

Hata wenye ajira wamepata ajira tena! Ndio maana idadi inaonekana kubwa. Bongo bhana!
Kwa upande wa mada, itabidi mwenye carry awahi kwa Afisa Utumishi wa Halmashauri husika ili kuweka mambo sawa 'nje ya mahakama'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…