hp4510 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 7,235 Reaction score 7,392 Oct 3, 2013 #1 wakuu leo ni tarehe tatu mwezi wa kumi mshahara wa mwezi wa tisa hatujapata hivi serikali wanadhani sisi tunaishi vipi? nauli za kwenda huko shule tunatoa wapi? haya ni mateso makubwa sana
wakuu leo ni tarehe tatu mwezi wa kumi mshahara wa mwezi wa tisa hatujapata hivi serikali wanadhani sisi tunaishi vipi? nauli za kwenda huko shule tunatoa wapi? haya ni mateso makubwa sana
Mkoroshokigoli JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 14,593 Reaction score 5,581 Oct 3, 2013 #2 Mkifunga ndo mtapata???kuwa na subira,kinondon wamepata jana
hp4510 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 7,235 Reaction score 7,392 Oct 3, 2013 Thread starter #3 subira wakati leo ni tarehe tatu? huko shule tunaenda na nn sasa?
G gauz Member Joined Jul 23, 2013 Posts 12 Reaction score 0 Oct 3, 2013 #4 Poleni sana ndio BRN hiyo.
M Mshirazy JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 421 Reaction score 70 Oct 3, 2013 #5 Kwani watumishi wengine wa halmashauri ya temeke wamepata??mpaka DED mwenyewe mshahara bado hajapata,sio walimu tu bana!!!
Kwani watumishi wengine wa halmashauri ya temeke wamepata??mpaka DED mwenyewe mshahara bado hajapata,sio walimu tu bana!!!