Chanzo cha habari, weka vielelezo vya kutushibisha kama vipo.Kufuatia zoezi la kuhakiki watumishi hewa katika taasisi za uma. Baadhi ya walimu wa Manispaa ya Kinondoni waliofukuzwa kazi miaka 5iliyopita kwasababu mbalimbali juzi waliitwa kwenye zoezi la uhakiki ili kuthibitisha kwamba wao ni walimu halali waliojariwa na Manispaa na walikuwa wakipokea mishahara yao kwa muda wote waliofukuzwa jambo ambalo si kweli. Walimu hao walifukuzwa kazi na hawakuwa wakipokea mishahara yao kwa muda wote mpaka kufikia tarehe ya uhakiki.
UsHawahi kwendakitanda ulichozaliwa ukauliza nesi n hiki ama kileChanzo cha habari, weka vielelezo vya kutushibisha kama vipo.
Duh, au athibitishe kama yeye ni jinsia gani humu kwa kuweka picha, eti enhee?U
UsHawahi kwendakitanda ulichozaliwa ukauliza nesi n hiki ama kile
Wakati wa zoezi la uhakiki walimu hao waliofukuzwa nao walionekanaChanzo cha habari, weka vielelezo vya kutushibisha kama vipo.
Sijabahatika kuzaliwa kitandani wala mama alienizaa hakupata bahati ya kusaidiwa na nesi kipindi mimi nakuja hapa duniani, Je kwa swali lako hilo ndio linaondoa ukweli kuwa mtu akiweka tuhuma yake humu tusimuhoji chanzo cha taarifa yake bali tukubali kibubusa?U
UsHawahi kwendakitanda ulichozaliwa ukauliza nesi n hiki ama kile
Ama kwaeli shule muhimu, yaani mimi nina Jinsia au Jinsi?Duh, au athibitishe kama yeye ni jinsia gani humu kwa kuweka picha, eti enhee?
Kufuatia zoezi la kuhakiki watumishi hewa katika taasisi za uma. Baadhi ya walimu wa Manispaa ya Kinondoni waliofukuzwa kazi miaka 5iliyopita kwasababu mbalimbali juzi waliitwa kwenye zoezi la uhakiki ili kuthibitisha kwamba wao ni walimu halali waliojariwa na Manispaa na walikuwa wakipokea mishahara yao kwa muda wote waliofukuzwa jambo ambalo si kweli. Walimu hao walifukuzwa kazi na hawakuwa wakipokea mishahara yao kwa muda wote mpaka kufikia tarehe ya uhakiki.
soma post vizuri utaelewa usikurupuke kucommentHoja yako hapa ni nini hasa?
Walimu waliokuwa wamefukuzwa walikuwa hawapokei mishahara yao au?
Kama ndivyo unatuambiaje sasa? Wangapi hao walimu? Hiyo mishahara yao ilikuwa inaenda wapi?
Kutosaidiwa NA nesi kuja duniani akukufanyi usizaliwe kitandani dadangu amezalisha majiranimanytimes majumbani mwao wakiwa kitandani mwao.......unaruhusiwa mkuuSijabahatika kuzaliwa kitandani wala mama alienizaa hakupata bahati ya kusaidiwa na nesi kipindi mimi nakuja hapa duniani, Je kwa swali lako hilo ndio linaondoa ukweli kuwa mtu akiweka tuhuma yake humu tusimuhoji chanzo cha taarifa yake bali tukubali kibubusa?
Naona hujaelewa nilimaanisha, yaani wanikumbusha mwalimu wangu mmoja pale chuo enzi hizo mungu amrehemu huko akhera, alikuwa akiogopa kutumia neno 'Kumaanisha' kwani alikuwa akiamini lina utusi ndani yake, mimi nakuambia sijazaliwa kitandani wewe wanilazimisha niwe nimezaliwa kitandani ebo! ndio kumaanisha nini sasa?Kutosaidiwa NA nesi kuja duniani akukufanyi usizaliwe kitandani dadangu amezalisha majiranimanytimes majumbani mwao wakiwa kitandani mwao.......unaruhusiwa mkuu
soma post vizuri utaelewa usikurupuke kucomment