Uwe unatembelea website ya wizara ya elimu ambayo ni United Republic Of Tanzania - Ministry of Education and Vocational Training, huwa wanaweka matangazo. Mwaka jana niliapply mwez wa 4. Wataweka tangazo kuwa mtume maombi wizarani huku ukiambatanisha na vivuli vya vyeti vya form 4 na 6. Wanaweza kuruhusu kuapply hata kabla ya matokeo ya form 4 kutoka, tembea tovuti yao mara kwa mara.
Nashukuru wadau, najua vyuo viwili tu kwa sasa,mnaweza kunipa list ya vyuo?plz msaada
Marangu TC, Monduli TC, Korogwe TC, Morogoro TC, Mpwapwa TC, Butimba TC, TaboraTC, Bunda TC, Kleruu TC, Tukuyu TC, Kasulu TC, na kadhalika.
Kigurunyembe TC ndicho Morogoro TC.kigurunyembe TC