WALIMU: Kama unasubiri kuajiriwa

WALIMU: Kama unasubiri kuajiriwa

Nsumbanzunya

Senior Member
Joined
Jun 13, 2014
Posts
177
Reaction score
42
Kama unasubiri kuajiriwa sekta ya ualimu jiandae kwa mambo haya;-

1.kupata pesa ya kujikimu pindi unapolipoti kituoni(wilayani)

2.Kupangwa mazingira ya vijijini sana ambayo hata usafiri na huduma nyingine za msingi ni za kususua

3.Watoto wa kike kutongozwa na maafisa kwa ahadi ya kupangwa mjini

4.kule vijijini mnakopangwa,kuchukiwa na vijana wa umri wenu

5.Kuchukiwa na wanasiasa wa vijijini wakiwadhania mnaleta upinzani kwa kuwahamasisha wanakijiji waichukie CCM

Na mengineyo
 
Hivi mazingira yote hayo uliotaja ni lazima yawepo utakapopangiwa?

Msipende kuwatosha vijana bhana! Kijana kamata fursa ukipata jiendeleze kiuchumi katika eneo lako la ajira. Achana na hawa wajuaji.
 
DEOs wanapata Kazi ngumu mana kila kidume anaomba eti ndugu yake apangiwe sehemu nzuri kumbe papicho tu wanataka
 
Kilichosemwa hapo ni kweli kabisa kama mnabisha subiri mwezi April mtaona
 
jiandaeni kuripoti mwezi wa tano tarehe 1 hawawezi zingua nyie ndo wapiga kura
 
Maisha ni popote, vijana msiogope umande! Chamsingi ni kujitambua na kutatua!
 
walimu kwa kweli wana majanga mengi sana hata kama wakiajiriwa.

Bado ni challenge sana kuwa mwalimu kwa zama hizi kwa nchi kama Tanzania.
 
Back
Top Bottom