Walimu mbona tunayumbishwa?

Walimu mbona tunayumbishwa?

matc

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2012
Posts
260
Reaction score
45
Kila siku zimekuwa zikijitokeza msg znazotumwa kwa walimu juu ya kaz na mishahara yao lakini huwa si kweli.
Kwa sasa zinatumwa msg zikionyesha kuwa kuna waraka utakaoanza kutumika 01/07/2013 juu ya kubadilshwa madaraja ya walimu, je! kuna ukweli?
 
Kila siku zimekuwa zikijitokeza msg znazotumwa kwa walimu juu ya kaz na mishahara yao lakini huwa si kweli.
Kwa sasa zinatumwa msg zikionyesha kuwa kuna waraka utakaoanza kutumika 01/07/2013 juu ya kubadilshwa madaraja ya walimu, je! kuna ukweli?
Subiria tu mana hakuna uhakika na mwalimu hana haki mbele ya serikali ya tanganyika sababu Nyerere mwenyewe alikimbia akaacha laana
jipange upya kama vyeti vinasoma
 
NILIVYOONA MM NI KWAMBA HATA SERIkali imejidhatiti kuhahakisha kuwa siri ya ama kuwepo ongezeko ama kuwepo kidogo ama kutokuwepo kabisa halijulikani mpaka hapo mtakapo pokea fedha zenu.

ikumbukwe kuwa walimu waligoma na serikali ikawahi mahakani na mahakama ikawataka walimu warudi kazini ktk sheria za kazi
hata hivyo mahakama ilitaka pande zote mbili zikae mezani. Serikali imekua ikikwepa kukaa na walimu. cha ajabu cwt kila siku wanataka kukaa meza moja na serikali, kila siku je na hiyo pesa si inashuka thamani kila siku?

Kila siku eti watakaa watakaa hadi lini? baada kumaliza kukaa meza moja then watafanya mchakato, baada ya mchakato waziri mmoja msema hovyo atakuja akisema, serikali inajiandaa pale hali ya uchumi ikiwa safi itakutana na 1,2,3....

serikali imefanya la maana kuwapigia kifua walimu wasikatwe asilimia zao

  1. walimu walitaka nyongeza ya mshahara 100%
  2. pia walimu walitaka 50% na 55% teaching allowance arts and science respectively
  3. walitaka mazingira bora katika ofisi ikiwa ni pamoja na nyumba, vifaa vya maabara na vitabu
  4. kulipwa madai yao na malimbikizo ya mishahara na likizo na masomo
  5. hardship allowance
 
Kila siku zimekuwa zikijitokeza msg znazotumwa kwa walimu juu ya kaz na mishahara yao lakini huwa si kweli.
Kwa sasa zinatumwa msg zikionyesha kuwa kuna waraka utakaoanza kutumika 01/07/2013 juu ya kubadilshwa madaraja ya walimu, je! kuna ukweli?

Huo uzushi wa kuwarusha watu roho,si kwrli ni propaganda ya siasa za bongo.
 
Back
Top Bottom