Walimu na ajira

Joined
Jan 22, 2014
Posts
42
Reaction score
2
Ajira mpya, kwa sasa majina yapo hazina , kila mtu anapangiwa pesa yake ili kuondoa usumbufu wa kufika kituoni afu hakuna pesa hivyo ondoeni hofu,
 
Mmeanza! Mbona mnaendelea kumtwisha zigo la kazi Mungu kwa uongo wenu? Eti "majina yako hazina!!?"
 
nilikuwa nataka fanya mchakato ili nipangiwe place nayotaka nikaambia ni ngumu coz majina yashasambazwa halimashauri na wana verify Mkwanja kwa each teacher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…