Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Majority ya walimu kazi yao haina madili,no connections no gape ya upigaji pesa ni wao chaki, Na mshahara wao kiduchu. Maisha ya kuridhika na kidogo chao ndo furaha yao hawakat tamaa wanapiga kazi.
Wengi wao wapo vijijini ndani ndani huko na pikipiki zao asubuhi na jioni wanabebana kwenda na kurudi kutoka shule.
Mungu anawabariki watoto wao wanakuja kua mainjinia,madaktari, wataalaam wa mionzi n.k
watumishi kama askari,mawakili,hakimu, matrafik wazee wa tanroad,tpa,tra
Wengi wao wapo vijijini ndani ndani huko na pikipiki zao asubuhi na jioni wanabebana kwenda na kurudi kutoka shule.
Mungu anawabariki watoto wao wanakuja kua mainjinia,madaktari, wataalaam wa mionzi n.k
watumishi kama askari,mawakili,hakimu, matrafik wazee wa tanroad,tpa,tra