Kufundisha nimfundishe mie, mtihani nimpe mie, misifa apate yeye!!! Utoro afanye yeye sifuri apate yeye, lawama nipewe mie!!! Mibangi avute yeye, nidhamu akose yeye BIG RESULT NOW nifanye mie!!! MAJANGAAA! MAJANGAAA! ONA MAJANGAAA ! ONA MAJANGAAA. ONE Tuzitoe sie wataalamu tuwafundishe sie, mishahara mikubwa wapate wao!!! MAJANGAA! MAJANGAA! ONA MAJANGAA! ONA MAJANGAA!! Jumapili njema mwalimu
Hongera sana mtoa mada hivi kama kuna njia yoyote ya kuwacliana na raic embu mtumie haka ka chorus aburudike
Kufundisha nimfundishe mie, mtihani nimpe mie, misifa apate yeye!!! Utoro afanye yeye sifuri apate yeye, lawama nipewe mie!!! Mibangi avute yeye, nidhamu akose yeye BIG RESULT NOW nifanye mie!!! MAJANGAAA! MAJANGAAA! ONA MAJANGAAA ! ONA MAJANGAAA. ONE Tuzitoe sie wataalamu tuwafundishe sie, mishahara mikubwa wapate wao!!! MAJANGAA! MAJANGAA! ONA MAJANGAA! ONA MAJANGAA!! Jumapili njema mwalimu
Kufundisha nimfundishe mie, mtihani nimpe mie, misifa apate yeye!!! Utoro afanye yeye sifuri apate yeye, lawama nipewe mie!!! Mibangi avute yeye, nidhamu akose yeye BIG RESULT NOW nifanye mie!!! MAJANGAAA! MAJANGAAA! ONA MAJANGAAA ! ONA MAJANGAAA. ONE Tuzitoe sie wataalamu tuwafundishe sie, mishahara mikubwa wapate wao!!! MAJANGAA! MAJANGAA! ONA MAJANGAA! ONA MAJANGAA!! Jumapili njema mwalimu
Nafikiri wanaohusika wamelichukua kama lilivyo na watalifanyia kazi. Hayo ni maonezi makubwa kuwahi kutokea TZ.Yote yanawezekana Tanzania. Hebu inyake hii. Huko Mwanza, Shule ya Sekondari Nsumba mwanafunzi akitaka kuhamia shule hiyo lazima aende na mifuko saba ya saruji (cement). Bado, hebu subiri, saruji hiyo lazima inunuliwe kutoka duka ambalo limeteuliwa na uongozi wa shule hiyo. Ukipeleka saruji uliyonunua kutoka maduka mengine imekula kwako, haipokelewi. Pia usafiri wa kuipeleka saruji shuleni hapo unatolewa na shule. Kivipi, sikiliza; Shule ina gari binafsi ndilo huyo mwanafunzi mpeleka saruji lazima alikodi pia, vinginevyo saruji hiyo haipokelewi. Kama ndoto vile!!! Majanga, majanga!!!