Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Walimu tuna hali ngumu (walimu)
Na sisi tuna umuhimu (walimu)
Tutazua kitimutimu (walimu)
Hadi wizara ya Elimu (Walimu)
Nimeukumbuka huu wimbo wa wagosi wa kaya jamani
Na sisi tuna umuhimu (walimu)
Tutazua kitimutimu (walimu)
Hadi wizara ya Elimu (Walimu)
Nimeukumbuka huu wimbo wa wagosi wa kaya jamani