BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Mimi niliajiriwa mnamo 2008 Katika shule ya sekondari Matipwili km100 Kutoka Dar na ni Karibu na hifadhi ya saadani.Mnamo mwaka2011 mwezi wa5 nikaomba chuo,Mana kwa Pale Matipwili ilikua zamu yangu nikasome,Mnamo mwazi wa7 DEO Sekondari alipoona naenda kusoma Akaona anihamishie Moreto Sekondari Lugoba.Mwezi wa10 nikapata chuo ila DEO Akaniambia airisha mwaka lakini nilikwama.Akasema hapa chagua kazi au masomo,Kwa kua lengo langu nika some niliandika barua kwa mkuu mpya Mwl Justine Lyamuye na akapitisha ila Bado DEO akakataa.Me nikaenda chuo mana Diploma kwangu ilikua bado,wakanikatia mshahara,Nikawa nakula mara moja kwa siku, nakula mikate iliyochacha ili siku ziende.Mda mwingine naumwa natumbo naharisha na siku inapita.Nikawaeleza Cwt lakini hadi leo hawakufanya lolote.Kwa sasa nipo 2year na Nimezoea maisha hayo.Kama kuna anaeweza kunishauri mana nilifanya kazi maporini miaka4 lakini nimenyimwa haki zangu..Ualimu nimetokea kuuona Mavi kutokana na unyama niliofanyiwa.0712336687