MUFINDI BOY
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 241
- 59
ni wazi kuwa mh. majaliwa alidanganya, rais naye kimya na huenda mh. rais anajua walimu washaajiliwa kwasababu hii nchi mawasiliano baina ya viongozi ni majanga. ila tutambue kama mwaka juzi post zilitoka jan 14, mwaka jana feb 14 basi mwaka huu ni march 14... tusibweteke na hawa walaghai tupige kaz