fered mbataa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 240
- 35
hivi kweli tunaweza pata mwalimu bora zaidi ya mwingine? Vigezo vipi vatatumika tumpate au huu ni usanii?, je hatuwezi thamini mchango wao wote na tuwalipe posho ya thamani ya mchango wao katika jamii?