Walimu vishikwambi achaneni navyo jikiteni kwenye allowances tu msichomoke zaidi ya hapa

Walimu vishikwambi achaneni navyo jikiteni kwenye allowances tu msichomoke zaidi ya hapa

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Walimu wanakimbizana na kupigana maofisini kwenye mgao wa vishikwambi vya sensa nakuanza kulialia kuwa wanaonewa. This is bullshit yani serikali hii inawaona walimu kama primitive generation ndio maana kwenye shughuli ndogondogo na vimgao vya hovyo wanapewa wao ila sio big agenda kama maposho wanayopewa polisi na wanajeshi

Hivi kama kweli serikali inajali walimu mbona inawaonea Kwa kuwapa mishahara kiduchu nakuwafanya ni toleo la zamani kamwe haliwezi kuwa jipya. Walimu changamkeni acheni ushamba.

Screenshot_20230118-063509.jpg
Screenshot_20230118-063534_1.jpg
 
Jana nilikuwa kwenye ofisi za Halmashauri ya Chamwino naambiwa wilaya ya Chamwino ndiyo inaongoza kwa kugawa kibaguzi vishikwambi yaani ule mtindo wa MUPE HUYU,MULUKE HUYU Sasa kama Ili linatokea hapahapa jikoni uko pembezoni inakuwaje?
 
Jana nilikuwa kwenye ofisi za Halmashauri ya Chamwino naambiwa wilaya ya Chamwino ndiyo inaongoza kwa kugawa kibaguzi vishikwambi yaani ule mtindo wa MUPE HUYU,MULUKE HUYU Sasa kama Ili linatokea hapahapa jikoni uko pembezoni inakuwaje!!!?
Hayana faida Kwa walimu, allowance ndokila kitu
 
Sisi wengine tunasubiria wamalize kwanza kuvigawa, ili baadaye tuje sasa kuvinunua kwa bei nafuu kutoka kwa 'wadau'
 
Back
Top Bottom