Walimu wa masomo ya sayansi jitathimini

Boss walimu wapo sema walimu wa masomo ya sayansi wana ujinga kuwa masomo yao magumu kwaiyo mtoto kuferi wameanza kuona kawaida inabidi wasimamiwe waachie hizo kasumba
Kwani uongo? Sayansi na Arts sio sawa.Kuna ugumu kwenye sayansi
 
Kuna shule Ina wanafunzi zaidi ya 1500 tena ipo mjini,Haina hata mwalimu Mmoja wa Hesabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…