kitongoroso
Member
- Nov 3, 2013
- 29
- 4
waalimu wa moshi vijijini wanaomba kuiuliza serikali kuwa wao ni tofauti na waalimu wengine Tanzania? mbona wanafanyiwa hivi? wananyanyasika sana kutoka kwenye idara zao za elimu, tsd, na utumishi.
Mfano waalimu waliotoka kujiendeleza kimasomo toka mwaka 2012 hadi leo hawajawabadilishia muundo wa utumishi. Wamepewa barua lakini hadi leo hawajalipwa mshahara mpya wakiuliza wanaambiwa ni hazina wanawacheleweshea. Wanauliza kuwa hazina wanaona tu halmashauri hii?
Si hivyo tu halmashauri hii haifuati kabisa taratibu zilizowekwa na serikali katika kulipa waalimu wake mfano tunafahamu mwalimu akitoka njee ya kituo chake cha kazi hulipwa kiwango flan kulinga na ukubwa wa mshahara wake ila kwa halmashauri hii kila kazi utakayopewa nje ya kituo cha kazi utalipwa shilingi elfu 3 tu huu ni unyanyasaji mkubwa.
Katika idara ya elimu afisa elimu wao hana utartibu mzuri wa kutoa promotions kwa waalimu kwani amekuwa na makengeza ya kuwapa wanawake promotions tatizo lililo mfanya ahamishwe kwenye halmashauri ya hai kwani aliiharibu sana sasa tatizo linaanza kujionyesha kwenye wilaya hii. SERIKALI MPO WAPI?
Mfano waalimu waliotoka kujiendeleza kimasomo toka mwaka 2012 hadi leo hawajawabadilishia muundo wa utumishi. Wamepewa barua lakini hadi leo hawajalipwa mshahara mpya wakiuliza wanaambiwa ni hazina wanawacheleweshea. Wanauliza kuwa hazina wanaona tu halmashauri hii?
Si hivyo tu halmashauri hii haifuati kabisa taratibu zilizowekwa na serikali katika kulipa waalimu wake mfano tunafahamu mwalimu akitoka njee ya kituo chake cha kazi hulipwa kiwango flan kulinga na ukubwa wa mshahara wake ila kwa halmashauri hii kila kazi utakayopewa nje ya kituo cha kazi utalipwa shilingi elfu 3 tu huu ni unyanyasaji mkubwa.
Katika idara ya elimu afisa elimu wao hana utartibu mzuri wa kutoa promotions kwa waalimu kwani amekuwa na makengeza ya kuwapa wanawake promotions tatizo lililo mfanya ahamishwe kwenye halmashauri ya hai kwani aliiharibu sana sasa tatizo linaanza kujionyesha kwenye wilaya hii. SERIKALI MPO WAPI?