chanzo cha habari kutoka wizara kimedai kuwa si rahisi kwa serikali kutompatia ajira mwanafunzi aliyesomeshwa kwa pesa nyingi,ila yule aliyekuwa na %chache itakuwa ngumu kwa yeye kuajiriwa! Serikali inataka kurudisha fedha zake ilzotumia,ili kurudsha ni lazima iwaajiri iliowasomesha kulingana na % zao.
Source-baba mdogo(mfanyakaz wa wizara)
Baba mdogo anasema kitu kitakuwepo hewani saa ngapi siku hiyo???...ALHAMISI SIO MBALI!
Baba mdogo anasema kitu kitakuwepo hewani saa ngapi siku hiyo???
wa diploma mtaajiriwa kulingana na ufaulu!
Baba mdogo anasema kitu kitakuwepo hewani saa ngapi siku hiyo???
ufaulu upi? gani? how?
waliokunywa supu au kufeli hata somo moja kwa dploma! hatutakutana kazini! but mliofaulu msiwe na waxwax. Tangazo hili ni kwa wale wanaojiita 'DEGREE HOLDERS'
...Tangazo hili ni kwa wale wanaojiita 'DEGREE HOLDERS'
....ntamuulza ntakuinform.
Uyu makuku ni taahira kwel,babako mdogo akupe info za degree wakat una certificate,how
Uyu makuku ni taahira kwel,babako mdogo akupe info za degree wakat una certificate,how
Chanzo cha habari kutoka
wizara kimedai kuwa si rahisi kwa serikali kutompatia ajira mwanafunzi
aliyesomeshwa kwa pesa nyingi,ila yule aliyekuwa na %chache itakuwa
ngumu kwa yeye kuajiriwa! SERIKALI INATAKA KURUDISHA FEDHA ZAKE
ILZOTUMIA,ILI KURUDSHA NI LAZIMA IWAAJIRI ILIOWASOMESHA KULINGANA NA %
ZAO.
Source-baba mdogo(mfanyakaz wa wizara)