Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
- Thread starter
-
- #41
Wewe hujiiti?
Au si miongoni mwao?
Nimeuliza nijue tu.
Makuku wewe unaishi sengerema ? Kwa hiyo ww ni msengerema?
No conection kati ya Ninakoishi na taarifa hii! by the way mi xo ------ rema! mi MMBEYA.
na habr umeleta ya kimbea,uwe mkwel siku ingne,alhamis si leo sasa,sikulaumu sana unaitaj elimu ya shahada iq yako ndogo sana
alhamisi haijakwisha bado mkuu! Mbona jazba?
waliokunywa supu au kufeli hata somo moja kwa dploma! hatutakutana kazini! but mliofaulu msiwe na waxwax. Tangazo hili ni kwa wale wanaojiita 'DEGREE HOLDERS'