Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

Mawazo haya, na akili ya namna hii ni DHAIFU SANA na uchochezi wa namna hii unaashiria udhaifu na jazba, think before you scribe, shame upon any instigation agent!
 

Mawazo haya, na akili ya namna hii ni DHAIFU SANA na uchochezi wa namna hii unaashiria udhaifu na jazba, think before you scribe, shame upon any instigation agent!
 
Mawazo haya, na akili ya namna hii ni DHAIFU SANA na uchochezi wa namna hii unaashiria udhaifu na jazba, think before you scribe, shame upon any instigation agent!

ww kweli dhaifu. Na bado mtasema yote mwaka huu.
 
Taifa linaloenda kuandaliwa kwa mising hii ni taifa la ajabu sana. Kama walimu na juhudi zote za kuwafanya wanafunzi wafaulu bado wanafeli, ke walimu wakianza juhudi za kufelisha si ndo basi hakuna umuhimu wa shule?EE MUNGU UTUREHEMU KWA MAANA HATUJUI TULITENDALO NA UTUPE HEKIMA YAKO.AMINA
 
Sawa, mwandae apate F ili akanunue leseni class C awe dereva wa basi na asiweze kusoma hata alama za barabarani asababishe ajali ya basi alilokubeba mwalimu wake bil nauli.
Bottomline - kuzzalisha kizazi cha wajinga ni kujikomoa menyewe.
 
Chonde chonde walimu msifanye mambo hayo , jueni kuwa mtaji wa ccm kuendelea kutawala ni ujinga na umaskini wetu.
 
Mi naona siku zote wamegoma, wanafunzi wanamaliza Std 7 hawajui kusoma wala kuandika,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…