mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
Nashangaa sana tatizi linajulikana, walimu hawana pesa, endapo watalipwa japo milioni moja tu kama cash kwa mwezi, mtashangaa.
wote wanaosemasema wanajisumbua tu. wengine wanafanya hili tatizo kama mtaji ktk siasa, endelezeni siasa tutaishia pabaya.
serikali ichukue ushauri huu, iweke pembeni mambo yote, walipeni walimu kuanzia mwezi july mshahara usiopungua mil.1
bajeti yenu izingatie tatizo la pesa kwa walimu, sote tutashangazwa na utendaji kazi wa walimu wetu.
MH. RAIS ashauriwe atumie mamlaka yake kuongeza pesa kwa walimu atakuwa ameokoa
Maoni yangu!
wote wanaosemasema wanajisumbua tu. wengine wanafanya hili tatizo kama mtaji ktk siasa, endelezeni siasa tutaishia pabaya.
serikali ichukue ushauri huu, iweke pembeni mambo yote, walipeni walimu kuanzia mwezi july mshahara usiopungua mil.1
bajeti yenu izingatie tatizo la pesa kwa walimu, sote tutashangazwa na utendaji kazi wa walimu wetu.
MH. RAIS ashauriwe atumie mamlaka yake kuongeza pesa kwa walimu atakuwa ameokoa
Maoni yangu!