Walimu walioajiriwa mwaka 2014

Walimu walioajiriwa mwaka 2014

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
674
Kuna baadhi ya walimu walioajiriwa mwaka tajwa hapo juu.

Mshahara wa mwezi wa tano #wameingiziwa mshahara Mara mbili yaani walipokea mshahara double siyo wote ila ni baadhi!

Nilikuwa nataka jua kuwa huuu ni mchakato wa kuwalipa madeni kwa awamu?
 
Maelezo hayajielezi.

Nadhani unamaanisha, kunawalimu walio ajiriwa mwaka jana na mshahara wa mwezi mmoja hawakupata ( wapo waliopitisha 2, 3, 4........)

Kwa kesi kama hii ni kweli nmeona na kushuhudia watu wakiingiziwa mishahara double double, kwaajili ya kulipa madeni yao.
 
Back
Top Bottom