Dr Ntinkutina.
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 309
- 55
Kama kuna kitu kinachoumiza wazazi wa wanafunzi kwa sasa basi ni tabia ya walimu kukalia madai tu.
Mfano walimu walioajiriwa mwaka huu kati yao zaidi ya elfu 12 inasemekana hawajaripoti walikopangwa. Hapo heshima itoke wapi?. Hao vijana waliishambulia serikali toka mwishoni mwa mwaka jana kwa nini hawapangiwi vituo vya kazi?.
Walimu wakati madai yao mengine yakiendelea kushugulikiwa waache kulalamika, sijui mimi ni "graduate" siwezi fundisha kijijini!. Watambue kuwa hayati baba wa taifa alifundisha "Pugu" akiwa na M A (Hist& Econ) ya Uskochi, keep in mind mwl. was very smart, lakini alifundisha tena it was in 1950s. Sasa ninyi wa 2010s wenye cheti,diploma na 1st degree mnagoma kweli kuripoti? Mlikuwa hamjui kuwa shule nyingi za msingi na sekondari zipo vijijini?. Na nafikiri wengi mnatokea huko. Heshima itoke wapi?. Wapendwa wahurumieni wadogo zenu wenye tatizo kubwa la upungufu wa walimu!
Mfano walimu walioajiriwa mwaka huu kati yao zaidi ya elfu 12 inasemekana hawajaripoti walikopangwa. Hapo heshima itoke wapi?. Hao vijana waliishambulia serikali toka mwishoni mwa mwaka jana kwa nini hawapangiwi vituo vya kazi?.
Walimu wakati madai yao mengine yakiendelea kushugulikiwa waache kulalamika, sijui mimi ni "graduate" siwezi fundisha kijijini!. Watambue kuwa hayati baba wa taifa alifundisha "Pugu" akiwa na M A (Hist& Econ) ya Uskochi, keep in mind mwl. was very smart, lakini alifundisha tena it was in 1950s. Sasa ninyi wa 2010s wenye cheti,diploma na 1st degree mnagoma kweli kuripoti? Mlikuwa hamjui kuwa shule nyingi za msingi na sekondari zipo vijijini?. Na nafikiri wengi mnatokea huko. Heshima itoke wapi?. Wapendwa wahurumieni wadogo zenu wenye tatizo kubwa la upungufu wa walimu!