Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 249
- 452
Kama kichwa cha habari kinavyosema!
Mtoto wangu kasoma shule moja inaitwa St. Charles Borromoe ipo Mbeya Mafiati. Kamaliza darasa la saba mwaka huu. Shule hii inaongozwa na masister wahindi hapo. Juzi nilienda kupeleka form asign mkuu wa shule mtoto alikuwa anaenda kufanya interview Kilimanjaro.
Mkuu wa shule muhindi nilimkuta anawafokea walimu watu wazima kabisa yaani kama watoto wadogo niliiumia sana ilikuwa asubuhi walimu wengine wamejificha kibanda cha mlinzi.
Hivi walimu mtetezi wao ni nani chini ya hili jua? Hawa jamaa kweli wanapata hela kwa kazi sana.
Serikali wasaidieni walimu sio mshahara angalau waheshimike huko wanakofanya kazi.
Mtoto wangu kasoma shule moja inaitwa St. Charles Borromoe ipo Mbeya Mafiati. Kamaliza darasa la saba mwaka huu. Shule hii inaongozwa na masister wahindi hapo. Juzi nilienda kupeleka form asign mkuu wa shule mtoto alikuwa anaenda kufanya interview Kilimanjaro.
Mkuu wa shule muhindi nilimkuta anawafokea walimu watu wazima kabisa yaani kama watoto wadogo niliiumia sana ilikuwa asubuhi walimu wengine wamejificha kibanda cha mlinzi.
Hivi walimu mtetezi wao ni nani chini ya hili jua? Hawa jamaa kweli wanapata hela kwa kazi sana.
Serikali wasaidieni walimu sio mshahara angalau waheshimike huko wanakofanya kazi.