Walimu wanaofanya semina ya sayansi na hesebu wachakachuliwa

Walimu wanaofanya semina ya sayansi na hesebu wachakachuliwa

kinya

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2009
Posts
495
Reaction score
71
Walimu wa masomo ya sayansi na hesabu(mathematics) wanaofanya semina ya siku kumi 10 katika vituo vya azania na city high school(benjamin mkapa) wanaelekea kususia semina hiyo kwa kile walichokielezea kuchakachuliwa POSHO zao,kwa mujibu wa mmoja wao wanalipwa 15 elfu/day pamoja na msosi usiokidhi viwango kitu kilichopelekea kuanza kuhoji je ni standing order gani inayo elekeza mwl alipwe 15 t/day?
Hakika kama hata hawa wameiva baasi hii IMEVA ...
 
walialikwa na nani kama GTZ hiyo posho ipo juu manake huwa wanalipa 5000 kwa siku.
 
Jamani hivi hamna huruma?? hata walimu mnachakachua viposho vyao?? EE MUNGU shuka utuokoe na janga hili rushwa.
 
Ngoshwe Acha uongo posho ya 5,000 labda wahudumu wa ofsi siyo walimu maana wao ni maafisa kuanzia TGTS D.
 
Semina kama hiyo ilipangwa kufanyika Morogoro mwezi wa tatu mwishoni na walimu waliambiwa watlipwa elfu tano wakagoma Afisa elimu wa mkoa akasema atawachukulia hatua za kinidhamu ikiwapo kutopewa nafasi za kwenda kusimamia wala kusahihisha mitihani yoyote ile.
 
Back
Top Bottom