Walimu Wanaokwenda Kusoma Bila Ruhusa Ajira Mashakani

Na walimu wenye degree nao tuchomoke tukapate masters. Ila mziki wa masters si sawa nawa degree. Lazima tuchomoke walimu na kuweka vitega uchumi vya maisha yetu.
 
Mwl ukifuata utaratibu unapata ruhusa.inatakiwa kuandika barua mwez wa 2 il wakuweke kwenye bajet.ikifika muda wa ruhusa
 
Ikifika muda wa ruhusa unaomba unapewa bila shida.mm mwenyewe nimepata ruhusa ya shule 2012 nimeajiliwa sept 2009
 
Hata hivo unachosema ndicho nifanyacho,yaan nafundisha vipindi kwa mujibu wa wizara bila kujali kuwa wengine wanakosa kwa sababu ya uhaba wa walimu.
 

Kiukweli hicho ndicho ambacho nikifanyacho kwa sasa,ninafundisha vipindi kwa mujibu wa wizara bila kujali kwamba wanafunzi wengine hawapati kwani idadi ya walimu ni ndogo sana
 

hayo nimaelazo ya mzigo na tusha utua, ikumbukwe kujiendeleza ni haki ya kilamtumishi ilikuinua kiwango cha utendaji kazini, hao waliopewa dhamana ya kutoa vibali wanatoa kwa upendeleo na rushwa, ipo siku tutachoka na serikari hii dharimu.
 
Someni Distance Learning OUT ila ujiweze kichwani.
 
kweli best mi nina miaka 5 kazn lakin ni miongon mwa watu ambao mpaka sasa hakielewek kitu kuhusu ruhusa napigwa karenda tu chuo kinafungua trh 1 nilichopanga kufika trh 7 bado nafanya maamuz magum boom nimepata et wananizingua sasa liwalo na liwe!
kama umepata mkopo nenda kasome ukimaliza utapata ajira tu na sio lazima urudi serikalin ,hzo pension mnazojidanganya nazo hata private school zipo...au unasubr had serikal iwarudishe kufundisha primary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…