Walimu wanaoripoti ajira mpya hakuna pesa.

Walimu wanaoripoti ajira mpya hakuna pesa.

Ziltan

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
2,672
Reaction score
6,880
Niko kwenye basi toka Bunda kwenda kuripti DSM -Temeke, nilikopangwa post yangu ya ajira ya ualimu,
lakini nimewasiliana na wenzangu watatu ambao washaripoti mmoja yuko temeke kaambiwa warudi j4 kwa kuwa mhusika hayupo,
mwingine yuko bariadi kapokelewa ila wameambiwa hela hakuna, na mwingine yuko manyoni kaambiwa hela hamna, yaani hapa niko kwenye basi najuta kwa nini naenda kuripoti maana sina salio na hali ndio hiyo
 
Niko kwenye basi toka Bunda kwenda kuripti DSM -Temeke, nilikopangwa post yangu ya ajira ya ualimu,
lakini nimewasiliana na wenzangu watatu ambao washaripoti mmoja yuko temeke kaambiwa warudi j4 kwa kuwa mhusika hayupo,
mwingine yuko bariadi kapokelewa ila wameambiwa hela hakuna, na mwingine yuko manyoni kaambiwa hela hamna, yaani hapa niko kwenye basi najuta kwa nini naenda kuripoti maana sina salio na hali ndio hiyo

nani huwa ana ajiriwa na kupewa hela cku hiyo hiyo? katafute kazi za kufanya acha uzushiiiii
 
nani huwa ana ajiriwa na kupewa hela cku hiyo hiyo? katafute kazi za kufanya acha uzushiiiii

huelewi mchakato wa hizi ajira,
ndio maana unatoa lugha chafu
 
Uu mgeni na ajira za serikali hasa Ualimu?lazima na ela ya kukuback up atleast kwa miezi sita
 
Ukiripoti kazini kwa mara ya kwanza unapaswa kujaza form mbalimbali za mkataba wa ajira then mengine yanafuata.
 
Pesa za kusafirishia mizigo ipo kwa walimu wapya?
 
Kwa tmk ni kweli, ila kwa ilala kuna dogo kasajiliwa leo ila hela bado wanafuatilia kesho.

Mkuu Ziltan karibu dsm, mm ni teacher pande hizi.
 
Kwa tmk ni kweli, ila kwa ilala kuna dogo kasajiliwa leo ila hela bado wanafuatilia kesho.

Mkuu Ziltan karibu dsm, mm ni teacher pande hizi.

mkuu mpatanishi ahsante sana wangu, ngoja nijipange ntaku pm ili tufahamiane
 
huyo alokwambia muongo mi nipo manyoni kilichofanyika ni kujaza forms na kupelekwa sehemu ya msosi! ONYO: yakuambiwa changanya na yakwako usiwe mpumbavu
 
mkuu mpatanishi ahsante sana wangu, ngoja nijipange ntaku pm ili tufahamiane

kabisa mkuu itakua vyema sana mkuu walimu tukawa pamoja. Hoping tutasaidiana kuleta mapinduzi pale cwt mana wamezidi porojo.
 
huyo alokwambia muongo mi nipo manyoni kilichofanyika ni kujaza forms na kupelekwa sehemu ya msosi! ONYO: yakuambiwa changanya na yakwako usiwe mpumbavu

hv mwalimu ambaye ana fikra pevu huo msosi ndo pesa zako za kujikimu,mizigo na on transit .utakapoanza kupiga miayo utaipata hiyo misosi ya kukupumbaza tuone kama hautakuwa wa kwanza kulalamika humu umechakachuliwa pesa zako
 
Kinondoni tumeripoti leo, tumeandka tu majina, tumeambiwa turudi ijumaa...
Sasa tukirudi ijumaa, ndo tutajua, mie ninachotaka ni waraka wa elimu namba 9 wa 2009, unaoonyesha stahk zangu! Huwez kudai kitu usichokjua..
Walimu wapya tujtahd kubadl uozo uliopo kwa jpo kdogo kw mahal tulpo.
Njo mkuu stahk zako utapata. Jasho la mtu halpotei.
 
huyo alokwambia muongo mi nipo manyoni kilichofanyika ni kujaza forms na kupelekwa sehemu ya msosi! ONYO: yakuambiwa changanya na yakwako usiwe mpumbavu

dah!! huko ulikopelekwa uligonga msosi aina ya bange au? Mbona unaporomosha matusi mithili ya uharo
 
Kinondoni tumeripoti leo, tumeandka tu majina, tumeambiwa turudi ijumaa...
Sasa tukirudi ijumaa, ndo tutajua, mie ninachotaka ni waraka wa elimu namba 9 wa 2009, unaoonyesha stahk zangu! Huwez kudai kitu usichokjua..
Walimu wapya tujtahd kubadl uozo uliopo kwa jpo kdogo kw mahal tulpo.
Njo mkuu stahk zako utapata. Jasho la mtu halpotei.

Zeticha nimeshafika mkuu jana kwa sasa nipo kigogo naomba 2wasiliane namba yangu ni 0718646327
 
huelewi mchakato wa hizi ajira,
ndio maana unatoa lugha chafu
Acha utoto ndugu!Nenda karipoti kituoni,pesa utapata tu!Fedha za serikali hazitolewi kama njugu!Kama huna pesa,kituo chako kitakuwezesha uishi mpaka fedha zitakapoletwa!
 
unatanguliza pesa kwa kuwa unataka upewe halafu usifanye kazi. wewe si una ajira nyingine? kuna jamaa mmoja anasema ataenda kuriport, kisha akipewa hela, huyoo anarudi. anasema kila siku serikalini wanakula pesa nyingi, sasa ni mda wake wa kuzidibua na yeye
 
Mambo yatakua mazuri,hela ni mchakato hazitoki kiholela!m.f nimeripoti wilaya 1 hvi,jana tumejaza makaratasi mbalimbali wao wataanza kuyapitia kama yako sawa wanatuingiza kwenye Pay row,hauoni mchakato unavyo enda?
 
Back
Top Bottom