Kuwa makini ndugu kama uko jirani na eneo ulilopangwa unaweza kusema hivyo ila jamaa anapoint kama mgomo utaendelea wale wa mbali wataathirika sana nadhani cha kushauri ndugu kama hali itaendelea hivi jaribu kuandika barua mahali husika ili kupewa Mda zaidi Leo watu wameshindwa kutoka goms kwenda posta unadhani kutoka dar to mwanza itakuwaje!? Itabid kuripoti na barua kama hali itaendelea hivi.