B Babati Yetu JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 369 Reaction score 116 Apr 18, 2015 #21 oxwinj said: kama n kijijin acount mpya tutafungua vip Click to expand... Ukiripoti kwa mkurugenzi unafungua account ndani ya masaa mawili.Nakushauri fungua NMB japo foleni mwisho wa mwezi ni majanga.
oxwinj said: kama n kijijin acount mpya tutafungua vip Click to expand... Ukiripoti kwa mkurugenzi unafungua account ndani ya masaa mawili.Nakushauri fungua NMB japo foleni mwisho wa mwezi ni majanga.
B Babati Yetu JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 369 Reaction score 116 Apr 18, 2015 #22 Mahug said: wanajamvi naomba kuuliza kuwa ni account ya Benki gani mwalimu mpya anapaswa kuwa nayo, na kuna usumbufu kiasi gani ukienda kuripot kwanza ndipo ufungue Account? Click to expand... NMB itakusaidia maana imesambaa sana wilayani.
Mahug said: wanajamvi naomba kuuliza kuwa ni account ya Benki gani mwalimu mpya anapaswa kuwa nayo, na kuna usumbufu kiasi gani ukienda kuripot kwanza ndipo ufungue Account? Click to expand... NMB itakusaidia maana imesambaa sana wilayani.
D danl Member Joined Apr 1, 2015 Posts 8 Reaction score 0 Apr 25, 2015 #23 mnajadl acount za benk? mnauhakika serkal inaajir walimu wapya mwaka huu, kweli huuu ni