malivawan10
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 541
- 310
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wapya tujiungeni kwa kuwa umoja ni nguvu -leo tunatafuta watakaokuwa viongoz wa walimu ambao hawajaajiriw. Viongoz hao watakuwa wakitaifa kwa iyo jitokezen ili tuweze kupata nguvu kwa pamoja mie naanza kama kiongoz wenu kwa sasa nahitaji ushirikiano wenu
Hatuwezi kuonyeshwa kwamba sie ni wajinga tumevumilia tumechoka mwafrika mweusi anamnyonya mtu wa tabaka la chini katika siasa kijamii na kiuchumi tuungane tupate nguvu
Kila mkoa anatakiwa kiongoz na watakuwepo viongoz wa taifa zima tunataka mabadiliko nyerere aliweza je sie ? Mawasiliano - malivawan10@gmail.com
Now we Can tommorrow never endkazi kwako mi napita tu!