Takribani sasa miezi kadhaa imepita Serikali ilipotoa taarifa ya kuwapangia vituo vya kazi wahitimu wa fani ya Ualimu. nilitegemea wahusika kutochukulia maanani kauli hiyo maana wengi wao wanalaamika, wanahujumu watoto wetu kwa kutoingia madarasani, matokeo ya wanafunzi yakiwa mabaya wanashangilia...kwa ujumla naweza kusema hapa Tanzania kwasasa walimu wana mgomo barafu wakishinikiza serikali iwaongezee mshahara.
kwa mshutuko mkubwa kila kukicha walengwa hawa wanahaha kila kona kusaka ni lini watapangiwa nafasi hizo......hata hapa JF kuna post nyingi sana zinazouliza nafasi hizo.
Hivi nyinyi mnataka kulitumikia taifa kizalendo bila kujali hali iliyopo au ni njaa za mtaani ndio zinawasukuma hivyo.....Tafakari..... chukua hatua!
kwa mshutuko mkubwa kila kukicha walengwa hawa wanahaha kila kona kusaka ni lini watapangiwa nafasi hizo......hata hapa JF kuna post nyingi sana zinazouliza nafasi hizo.
Hivi nyinyi mnataka kulitumikia taifa kizalendo bila kujali hali iliyopo au ni njaa za mtaani ndio zinawasukuma hivyo.....Tafakari..... chukua hatua!