Walimu wapya waajiriwa 2012/2013

Septemba11

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
620
Reaction score
532
Habar wana jf,
kwa walimu mliotegemea kuajiriwa january na serikal, kwa wengi wenu n vijana so maisha ni leo/sasa kwan hiyo ahadi/tumain ishapotea na aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa, pia ukiona manyoya jua keshaliwa kwan uvumilivu una kikomo.
La msing ndugu walimu ni kutumia elimu yako uloipata km n shahad, stashahada n.k kwa ajili yako bnafsi,familia na taifa kwani kwa serikal inayojal elimu haiwez kuwaacha walimu mitaan kwa miez 9 hali ya kuwa ina uhitaji nao mkbwa hasa kwa hiki kpnd.
Mwisho tumia elimu yko kujikomboa na mazingira yko!
 

Mbowe alishasema tangu Bungeni, na hata jana akiwa Arusha aliongea. SERIKALI HII BILA PRESHA KUTOKA KWA WANANCHI HAITEKELEZI JAMBO LOLOTE, hivyo ni vyema graduants wote popote tulipo nchi nzima tuungane kupeleka malalamiko ye2 panapohusika. Kikubwa ni kuiomba serikali itoe tamko ili kila mtu aendlee na programes zake, vingnevyo kuishia kulalamika humu haisaidii lolote.
 

Ndugu yng Mwamgunda, haina haja ya kujipendekeza kwa serikal isiyotambua umuhimu wako/wenu, cha msingi kma nlivyosema ni kila 1 kuweza kuitumia elimu aloipata katika mazingira yake na pia kuweza kutumia fursa zilizopo ili kujikomboa katika hili janga la umaskini na ukosefu wa ajira!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…