Mipale Steve
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 384
- 43
Ni hv punde 2 nimepata hii sms kutoka kwa mwenzangu ambaye 2nasubir wote ajira za ualimu kutoka serkalini sms imenishitua kidogo kwani inasema hv:
WALIMU WAPYA TUKUTANE DAR KUANZIA TAR 01-02-2013 KWA AJILI YA MAANDAMANO YA KUDAI AJIRA. MAANDAMANO YATAANZIA MWENGE KUELEKEA WIZARANI SAA TATU KAMILI ASUBUHI. Kumbuka tz bila mgomo na maandamano haiwezekani. Ukipata sms hii watumie na walimu wengne wanaosubiri ajira kama wewe.
-sasa najiuliza hv??
Hv ni kweli hadi watu waandamane ndo serikali ione matatizo yao?
-je? Ni kipi kinachoifanya serikal kuchelewa kutoa ajira?
-au n kwel serikal haina pesa?? Kama n kwel haina pesa mbona inasemekana kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru gvt ilitumia zaidi ya bilion 64.??
-au je? Ni kweli Walimu nch hii hatupewi thaman yeyote???
Je? Kama serikali ya Sisiemu ni sikivu mbona haijackia haya ya walimu? Au imevaa earphone masikioni?
M4C FO LIFE!
WALIMU WAPYA TUKUTANE DAR KUANZIA TAR 01-02-2013 KWA AJILI YA MAANDAMANO YA KUDAI AJIRA. MAANDAMANO YATAANZIA MWENGE KUELEKEA WIZARANI SAA TATU KAMILI ASUBUHI. Kumbuka tz bila mgomo na maandamano haiwezekani. Ukipata sms hii watumie na walimu wengne wanaosubiri ajira kama wewe.
-sasa najiuliza hv??
Hv ni kweli hadi watu waandamane ndo serikali ione matatizo yao?
-je? Ni kipi kinachoifanya serikal kuchelewa kutoa ajira?
-au n kwel serikal haina pesa?? Kama n kwel haina pesa mbona inasemekana kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru gvt ilitumia zaidi ya bilion 64.??
-au je? Ni kweli Walimu nch hii hatupewi thaman yeyote???
Je? Kama serikali ya Sisiemu ni sikivu mbona haijackia haya ya walimu? Au imevaa earphone masikioni?
M4C FO LIFE!